Naomba kufahamu Hospitali maalum kwa ajili ya watoto

Mkuu kuna maswali yanakera sana, mtu mhitaji Hana maswali Mengi. Sikutegemea maswali mepesi kiasi hicho.

Nipo sahihi kwa majibu niliyompa Kuna Wakati mtu Akiwa na bima anahisi hahusiki kulipa cash. (Kitu ambacho siyo kweli)

Halafu pia swali lake ni kujua hospital ya watoto, Sasa kuhusu gharama angejua akifika, Gharama zinabadilika kila uchwao.

Pia kwa MZAZI ukifika mahali mtoto anaumwa usihoji Sana maswala ya Bima, Kimbilia AFYa ya mtoto wako kwanza.

Mimi Nina Bima Ila Kuna hospital nilifika kumuona Specialist ni 50,000/= Bima yako unaweka Pembeni kwanza.

Kwa hiyo maswali anayouliza ikiwa amembiwa gharama zake ni rafiki nadhani ilitosha kujua hawatumii bima.
Bado kubali kuwa umekuwa rude, sijaona kosa lake alipokuuliza kama wanatumia bima au laa! Ilikuwa kumpa jibu simple tu, ndiyo au hapana au kumuignore kabisa.

Again hukuwa considerate watu wanatofautiana uwezo, hivyo umemuhukumu sana.

Pole kama nitakukwaza.
 
Bado kubali kuwa umekuwa rude, sijaona kosa lake alipokuuliza kama wanatumia bima au laa! Ilikuwa kumpa jibu simple tu, ndiyo au hapana au kumuignore kabisa.

Again hukuwa considerate watu wanatofautiana uwezo, hivyo umemuhukumu sana.

Pole kama nitakukwaza.
Lile jibu alilompa yaani mimi msomaji nimejikuta najiskia vibaya sana kuliko hata huyo muulizaji.
Kuna umuhimu mkubwa sana wa kutumia busura pindi unapomsaidia mtu mwenye shida/matatizo.
 
Pole mkuu bila Shaka unauguliwa, Mtoto akiugua ni changamoto Sana Kuwa makini miaka kumi na mbili iliyopita niliwahi kupoteza mtoto wangu wa kiume (Pumzika kwa Amani Mtoto wangu Marehemu Lawrence).

Anyway Kama upo Dar ES Salaam, Nenda Fire mtaa wa Swahili na Faru kwa dokta wa kihindi Dr Kareem au Livingstone na Mkunguni Dr Kwayo. Muda ni saa moja Asubuhi mpaka saa Kumi Jioni na gharama ni rafiki.

Utaleta mrejesho hapa hao Wahindi ni madaktari Bingwa wa watoto hawabatishi kazi.
Nashukuru sana mkuu
 
Shida yako ni hospitali (jina) ama una uhitaji wa Daktari mzuri wa watoto?

mie kila daktari ni mzuri, japokuwa kila mmoja amewiwa karama tofauti

"Beauty is in the eye of the beholder"
Kuna hospitali ambazo zina deal na watoto tu ndio nnazo hitaji. Asante.
 
Mkuu usiwe muoga kwenye kuuguza pesa inatafutwa, Hawana Bima ni Cash ndiyo maana nikakwambia gharama zao ni rafiki.

Sasa Tena maswali kibaaoooo, naanza kupata mashaka huyo Mtoto wako ana maradhi ya kawaida ila huenda ubahili wako ndiyo kikwazo mtoto kupata tiba muafaka. Ukitumia cash unaona unaibiwa .
Nashukuru kwa mafafanuzi mkuu.
 
Mkuu kuna maswali yanakera sana, mtu mhitaji Hana maswali Mengi. Sikutegemea maswali mepesi kiasi hicho.

Nipo sahihi kwa majibu niliyompa Kuna Wakati mtu Akiwa na bima anahisi hahusiki kulipa cash. (Kitu ambacho siyo kweli)

Halafu pia swali lake ni kujua hospital ya watoto, Sasa kuhusu gharama angejua akifika, Gharama zinabadilika kila uchwao.

Pia kwa MZAZI ukifika mahali mtoto anaumwa usihoji Sana maswala ya Bima, Kimbilia AFYa ya mtoto wako kwanza.

Mimi Nina Bima Ila Kuna hospital nilifika kumuona Specialist ni 50,000/= Bima yako unaweka Pembeni kwanza.

Kwa hiyo maswali anayouliza ikiwa amembiwa gharama zake ni rafiki nadhani ilitosha kujua hawatumii bima.
Mkuu samahani. Aliyeanzisha uzi ni mimi ndiye nilikuwa nahitaji msaada.

Mchangiaji ndio alihitaji maelezo zaidi. Tusimlaumu. Nadhani watu huwa wanauliza ili kuhusu cash na bima ili ajipange vzr zaidi kabla ya kwenda.

Nimetumia hiz hospital mala kadhaa. Bahati mbaya madaktari niliokuwa nawatumia wametangulia mbele ya haki.. eg Dr Dullah na Dr Massawe RIP. Na zote nilizopita huwa hawana bima.

So kwangu naelewa vzr zaidi. Nilihitaji kujua kama kuna daktari mwingine mzoefu sababu siku naandika uzi mtoto alikuwa na changamoto. Asante sana.
 
hellow brother, pole kwa kuuguza, nenda muhimbili kitengo cha watoto muulize doctor kissenge, he is a very good doctor wa watoto, kwanza ni nadra kumpa mtoto dawa, huwa anaangalia chanzo, na kama akimuandikia mtoto dawa mfn sindano jiandae kufuatiliwa, anajali sana watoto na kiukweli anajua huwa habahatishi.
mwingne anaitwa doctor Ben pale muhimbili, nae ni mzuri sana si unajua walisomea japan wote, huyu ni kijana hvyo ana uwanja mpana wa utafti.

by the way dr kissenge wapo wawili, kuna dr wa watoto pia dr wa moyo ila wote ni ndugu.

huyu kissenge huwa anahudumia pale alfa clinic nadhan mara 3 kwa wiki, bima wanapokea nhif, jubilee, strategies pia AAR km sikosei.

Kuhusu dr ben nje ya MNH sina taarifa anahudumu clinic gani hope wadau watasaidia


By the way waweza nipgia 0713924581
Shukrani sana mkuu
 
Back
Top Bottom