billgate98
Member
- May 10, 2018
- 55
- 27
Habari wana jamvi.
Yoyote yule anaesoma au anaekifahamu vizuri hichi chuo kuhusu:-
1. Entry requirement kwa sisi wa Tz.
2. Malipo yake.
3. Mode of application kwa sisi wa Tz.
Maana nimeangalia Website yao kuna baadhi ya vitu sijavielewa vizuri.
Nawasilisha.
Yoyote yule anaesoma au anaekifahamu vizuri hichi chuo kuhusu:-
1. Entry requirement kwa sisi wa Tz.
2. Malipo yake.
3. Mode of application kwa sisi wa Tz.
Maana nimeangalia Website yao kuna baadhi ya vitu sijavielewa vizuri.
Nawasilisha.