Dawa ni hii fuata maelekezo chukua kaa la moto pitishia sehemu ambazo hutaki ziote nywele baada ya hapo kesi yako imepata ufumbuzi kila la heri fuata maelekezo!!Bandugu nina wahi sana kuota ndevu na masharubu(timba) yaani nikinyoa hazipi siku tano yashajaa tena haswa haswa hizi timba ndiyo kero kabisa.
Nikisema nikae mwezi bila kunyoa unaweza sema muisrael.
Kwa yeyote anaye fahamu dawa ya kuzuia ndevu kuota kwa haraka ama kuzuia zisiote kabisa anifahamishe.
Wacha niweke kambi hapa maana na Mimi ni mhanga wa "midevu mzigo"....nanyoa kila siku mpaka mashavu na kidevu vimekomaa utazani ngozi ya goti
Mkuu, wamasai wako na kila dawa, mpaka dawa ya viti maalumUpo sahihi,kama kila baada ya siku mbili unanyoa ndevu mashavuni ina maana hazina kazi,ni bora zisiote uache za kidevuni tu,inasaidia kutunza ngozi na kupunguza usumbufu
Wafatute wamasai wana hizo dawa mkuu,ila hakikisha awe ana kijiwe ambacho anakuwepo kila siku, hao wanakuwa sio matapeli
Mkuu, wamasai wako na kila dawa, mpaka dawa ya viti maalum
unafanana na emoji au ukiosha uso unahisi kama unaosha embeMi natafuta kinyume chake, ni dawa ipi itafanya nistawi madevu... kiasili ni hatuna mchebe!
unafanana na emoji au ukiosha uso unahisi kama unaosha embe
Picha tafadhali kaka mkubwaShenzi kabisa!
Bora hata emojis zina mchebe.
Picha tafadhali kaka mkubwa
Zinalandana na pesa .Mchebe ukiutanza vizuri aunashida kabisa.View attachment 1630043View attachment 1630044
Nyoa kwa kutumia magic! Ile inang'oa ndevu hadi kwenye shina!Bandugu nina wahi sana kuota ndevu na masharubu(timba) yaani nikinyoa hazipi siku tano yashajaa tena haswa haswa hizi timba ndiyo kero kabisa.
Nikisema nikae mwezi bila kunyoa unaweza sema muisrael.
Kwa yeyote anaye fahamu dawa ya kuzuia ndevu kuota kwa haraka ama kuzuia zisiote kabisa anifahamishe.