Naomba kufahamu dawa ya kuzuia NDEVU kuota haraka

Mimi napenda ndevu na ninazo lkn tatizo hazina ushirikiano, nikiziacha nakua na muonekano wa hovyo pia kama wewe zinaota muda mfupi
 
Bandugu nina wahi sana kuota ndevu na masharubu(timba) yaani nikinyoa hazipi siku tano yashajaa tena haswa haswa hizi timba ndiyo kero kabisa.

Nikisema nikae mwezi bila kunyoa unaweza sema muisrael.

Kwa yeyote anaye fahamu dawa ya kuzuia ndevu kuota kwa haraka ama kuzuia zisiote kabisa anifahamishe.
Dawa ni hii fuata maelekezo chukua kaa la moto pitishia sehemu ambazo hutaki ziote nywele baada ya hapo kesi yako imepata ufumbuzi kila la heri fuata maelekezo!!
 
Mi natafuta kinyume chake, ni dawa ipi itafanya nistawi madevu... kiasili ni hatuna mchebe!
 
Upo sahihi,kama kila baada ya siku mbili unanyoa ndevu mashavuni ina maana hazina kazi,ni bora zisiote uache za kidevuni tu,inasaidia kutunza ngozi na kupunguza usumbufu

Wafatute wamasai wana hizo dawa mkuu,ila hakikisha awe ana kijiwe ambacho anakuwepo kila siku, hao wanakuwa sio matapeli
Mkuu, wamasai wako na kila dawa, mpaka dawa ya viti maalum
 
Bandugu nina wahi sana kuota ndevu na masharubu(timba) yaani nikinyoa hazipi siku tano yashajaa tena haswa haswa hizi timba ndiyo kero kabisa.

Nikisema nikae mwezi bila kunyoa unaweza sema muisrael.

Kwa yeyote anaye fahamu dawa ya kuzuia ndevu kuota kwa haraka ama kuzuia zisiote kabisa anifahamishe.
Nyoa kwa kutumia magic! Ile inang'oa ndevu hadi kwenye shina!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom