nyangwara
Senior Member
- Dec 20, 2012
- 130
- 50
Heshima kwenu wana JF, Mimi ni mfugaji mdogo Wa kuku Wa kienyeji kwa ajili ya mboga nyumbani, ufugaji huo nimeanza mwezi Wa nane mwaka huu. Lakini wiki iliyoisha kuku wameanza kuugua na wengine kufa. Naomba anaejua dawa ya chanjo au kuwanywesha anisaidie then nikanunue au kutafuta popote.