Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,405
- 30,908
Nianze na Profesa Mwandosya
Homeli David Mwakyusa
Kiufupi Hawa watu wanani inspire Sana ila hawajulikani sana kwa undani naomba wenye CV zao watuwekee hapa msisubiri wamekufa.
- Ni mhandisi wa umeme
- Alisomea Japani
- Amefundisha vyuo vikuu vingi kwanjia ya video conference kitambo
- Hakusomea masters ila akawa Prof how? Alikuwa wizara moja na JK enzi za Mwinyi. Wakagombana. Mwinyi akawapatanisha
- JK alipokuwa waziri akamteuwa kwenye serikali yake. Alikuwa na mabifu na Marais wawili JK na JPM
- Anaishi Tukuyu Mwakaleli
- Mnyakyusa.
Homeli David Mwakyusa
- Ni mpole Sana sio mzungumzaji.
- Hana makuu. Alikuwa mwenyeji wa bodi ya muhimbili.
- Waziri wa afya
- Daktari mahsusi wa Nyerere
- Nyerere anafariki yeye ndio alikuwa pembeni.
- Mnyakyusa.
Kiufupi Hawa watu wanani inspire Sana ila hawajulikani sana kwa undani naomba wenye CV zao watuwekee hapa msisubiri wamekufa.