Malaika_financials
Member
- Apr 27, 2021
- 38
- 31
Habari wapendwa,
Poleni na majukumu, bado nipo kwenye harakati za upambanaji hivyo nahitaji msaada wenu.
Nataka kuanza biashara ya Tigopesa, Je what are the procedures ya kupata line ya wakala wa Tigopesa kwa yeyote anayefahamu.
Asanteni.
Ushauri wa mdau
Nyuzi unaoshauriwa kusoma:
Poleni na majukumu, bado nipo kwenye harakati za upambanaji hivyo nahitaji msaada wenu.
Nataka kuanza biashara ya Tigopesa, Je what are the procedures ya kupata line ya wakala wa Tigopesa kwa yeyote anayefahamu.
Asanteni.
Ushauri wa mdau
1. Nenda TRA wakupe Tin , wafanye na makadilio yao, walipe then Wakupe Tax clearance Form.
2. Nenda ofisi ya Halmashauri/ manispaaa wakupe leseni ya biashara
3. Beba passport size na hizo documents ukiwa na 10000/- kwa ajili ya mwanasheria. Mtafute Wakala mkuu wa Mtandao husika. Atakamilisha Kila kitu. Then andaa hela ya float . Baada ya mwez au miez miwili kachukue till yako.
Then Rud hapa kwenye Huu uzi washukuru wadau
Nyuzi unaoshauriwa kusoma: