Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,907
- 6,700
Ndo naana yake mkuu yaani jamaa ni mwenyeji lakini wanamsumbua mpaka ashike fimbo na kuwachapa ndo wanatulia sasa huyo ni mwenyeji mgeni je si balaa! Maana hawataki mtu aliyezubaa!Kumbe wanahatari.