Ushauri na Mbinu Mbalimbali Kuhusu Uendeshaji wa Biashara ya Kuosha Magari (Car Wash)

Sina sana experience. Ila naweza shauri kitu hapo.

Kwanza Uwe na pressure washer. Ukipata za umeme naona ni nzuri zaidi ukicompare na zile za kutumia mafuta.

Ukiweza kutega eneo la karibu na barabara nadhani itakuwa safi zaidi. Halafu unaweza ukaweka na huduma ya choo cha kulipia hapo hapo kwa ambao watakuwa sio wateja wako.

Penye wengi hapaharibiki neno. Wengine watakuja kujazia.
Naomba bei ya pressure washer inauzwa vp
 
Naomba bei ya pressure washer inauzwa vp

Inategemea na eneo uliopo mkuu na sizes zake. Kama upo hapa dar kariakoo zimejaa nyingi tu na zingine huku stesheni na ile mitaa ya wahindi. kuna za laki 2,4,8 mpaka milioni kadhaa huko, size ndo ina matter sana.

Sijajua kwa eneo ulilopo. Ila kama upo dar jaribu pia kwenda kufanya window shopping kwenye hiyo mitaa.
 
Inategemea na eneo uliopo mkuu na sizes zake. Kama upo hapa dar kariakoo zimejaa nyingi tu na zingine huku stesheni na ile mitaa ya wahindi. kuna za laki 2,4,8 mpaka milioni kadhaa huko, size ndo ina matter sana.

Sijajua kwa eneo ulilopo. Ila kama upo dar jaribu pia kwenda kufanya window shopping kwenye hiyo mitaa.
Mkuu kwa tuliopo Dar inaweza kugharimu kiasi gani kukamilisha biashara hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea na eneo uliopo mkuu na sizes zake. Kama upo hapa dar kariakoo zimejaa nyingi tu na zingine huku stesheni na ile mitaa ya wahindi. kuna za laki 2,4,8 mpaka milioni kadhaa huko, size ndo ina matter sana.

Sijajua kwa eneo ulilopo. Ila kama upo dar jaribu pia kwenda kufanya window shopping kwenye hiyo mitaa.
Wewee kuwa serious ya laki 2 au 4 hemu eleza mchanganuo niimiliki hata kesho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mikoa ambayo carwash ina pay off Dar magari ni mengi, Dodoma kikao cha bunge, Arusha, na Moshi magari ya tours, kwa Tanga mjini naijua car wash moja tu, maji Tanga siyo shida wanaoshea home amna mizunguko na pia amna kuchafuka kwa magari kiivo. Car wash nzuri na kubwa inalipaaa
 
Sina sana experience. Ila naweza shauri kitu hapo.

Kwanza Uwe na pressure washer. Ukipata za umeme naona ni nzuri zaidi ukicompare na zile za kutumia mafuta.

Ukiweza kutega eneo la karibu na barabara nadhani itakuwa safi zaidi. Halafu unaweza ukaweka na huduma ya choo cha kulipia hapo hapo kwa ambao watakuwa sio wateja wako.

Penye wengi hapaharibiki neno. Wengine watakuja kujazia.
No, Za mafuta ni Bora kuliko za umeme
 
Wewee kuwa serious ya laki 2 au 4 hemu eleza mchanganuo niimiliki hata kesho.

Sent using Jamii Forums mobile app

Punguza mihemuko Bob. izo pressure washer kuna mpya na used na za brands tofauti tofauti. Kuna za mafuta na za umeme. Sasa hivyo vigezo vyote zinaleta hizo price range nilizozitaja na ndo maana nikampa mwongoza jamaa hapo juu na yeye aende akafanye window shopping ili kujiridhisha.
 
No, Za mafuta ni Bora kuliko za umeme
Inawezekana ni kwa upande wako Bob.

Ila kwa Mimi, Za umeme ni best zaidi. Kwa nini? Kwa sababu maintenance na running cost za machine sio kubwa as unakuwa hauhofii mambo ya kubadili spark plug, issue za engine oil, mafuta(Petrol) noise & air pollution na considerations zingine.

Kwa hiyo kwangu mimi natumia zaidi pressure washer ya umeme sababu kwa upande kwangu ni more reasonable as compared tu pressure washer za mafuta. Na ninakuhakikishia zipo pressure washer zenye uwezo mkubwa tu za kutumia umeme.

Ila kama jamaa anataka kutega sehemu hakuna umeme basi atumie pressure washer za mafuta. Na hawa mara nyingi wanatega maeneo ya mtoni na Mara nyingi wanaosha yale maroli.
 
Inawezekana ni kwa upande wako Bob.

Ila kwa Mimi, Za umeme ni best zaidi. Kwa nini? Kwa sababu maintenance na running cost za machine sio kubwa as unakuwa hauhofii mambo ya kubadili spark plug, issue za engine oil, mafuta(Petrol) noise & air pollution na considerations zingine.

Kwa hiyo kwangu mimi natumia zaidi pressure washer ya umeme sababu kwa upande kwangu ni more reasonable as compared tu pressure washer za mafuta. Na ninakuhakikishia zipo pressure washer zenye uwezo mkubwa tu za kutumia umeme.

Ila kama jamaa anataka kutega sehemu hakuna umeme basi atumie pressure washer za mafuta. Na hawa mara nyingi wanatega maeneo ya mtoni na Mara nyingi wanaosha yale maroli.
Ok well said bro, Mimi ninayo ya umeme na ya mafuta, ya mafuta ni very flexible yaani unaweza kuitumia popote na umeme nimeshindwa kuitumia kutokana kushindwa kujenga miundo mbinu ya umeme.
 
Nataka kuanza biashara ya car wash but nlitaka kujua

1. Kodi ya eneo la biashara
2. Malipo ya wafanyi kazi yapo VP
3. Bei unacharge VP
4. Faida kwa siku inaweza simama ngapi
 
Niaje wana naitwa Salum issa niko Mtwara mjini nilikua Napenda kufahamu kuhusu biashara ya car wash gharama zake kwa mtu anaeanza na changamoto zake kubwa maan hakuna kitu kisicho na changamoto kwa hiyo mweny wazo lolote au uelewa juu ya hili anijuze
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom