kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,574
weka namba mkuu tufanye biasharaNinaleta hizo mashine toka UK na Germany (used) na kuziuza hapo Dar na mikoa ya jirani. Chinese products zipo madukani hapo Dar lakini durability yake ni ndogo sana. Kuna vijana wanaosha magari makubwa kule Kurasini, walikuja kwenye yard yangu mara ya kwanza na walipoona ni used machine wakaziacha na kuamua kuingia madukani kununua mashine mpya za mchina kwa 2.5M Tsh, baada ya miezi miwili walikuja tena kwangu na mpaka sasa wanadunda mzigo kama kazi na wamekuwa wananipa oda mara kwa mara. Kwa sasa nina mashine mbili zimebaki pale yard. Ni PM tuwasiliane ili nikupe maelezo zaidi.