Mr. Wise
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 7,718
- 6,441
Habari wana jamvi
Samahani ningependa kuvijua vyuo vya afya vya serikali, plz kama umesoma ama umewahi kukisikia chochote naomba nitajie katika huu huzi kisha nivichuje.
Je mtoto wa form IV mwenye
C-Chemistry
C-Biology
D-Physics
F-Mathematics
Anaweza pata nafasi ya kusoma Diploma ktk vyuo hivi?
Samahani ningependa kuvijua vyuo vya afya vya serikali, plz kama umesoma ama umewahi kukisikia chochote naomba nitajie katika huu huzi kisha nivichuje.
Je mtoto wa form IV mwenye
C-Chemistry
C-Biology
D-Physics
F-Mathematics
Anaweza pata nafasi ya kusoma Diploma ktk vyuo hivi?