Hosea Dibson
Member
- Jul 15, 2021
- 25
- 8
- Thread starter
- #81
Umeongea ukweli mkuuMkuu
Hao Maengineer wenyewe wa nje wanaokuja kufanya kazi huku Bongo huwa wanasajiliwa na ERB. Who told you Bongo Engineering ni Magumashi? Kama ni Magumashi Isingekuchukua miaka 7,mpaka kuwa registered as Professional Engineer tena kwa kuandika ripoti ya ulichokifanya kila baada ya miezi mitatu ambayo inakaguliwa ,kwa miaka mitatu tokea umemaliza degree yako ya miaka minne (Ambaye huyu ndiye 'complete' Engineer ambaye huapa kwa kiapo).
Sina, uhakika mtu aliyepitia huo mlolongo anaweza kuwa Magumashi.Ingawa aliyepitia huo mlolongo kimagumashi ndio anaweza kuwa Magumashi.
Huko kimataifa unakosema,kuna nchi hazina mlolongo huo? Mfano UK (Uingereza) kuna vyuo mtu anaweza soma degree na Masters kwenye Engineering na within 4yrs akamaliza,Mifano halisi ipo.