Naomba kufahamishwa vitabu vizuri vya chemistry na biology kwa A-level

Nami pia msaada vitabu gan nitafute HKL na GEOG
Hapo kwa hkl ni lazma uwe na vitabu vifuatavyo
ADVANCED MASTERING1
ADVANCED MASTERING2~by mwalimu kato
ESSENTIAL ADVANCED HISTORY~saleh yasin
CONTEMPORALY HISTORY by mwalimu shibitali

KISWAHILI
NYAMBARI NYANGWINE kinatosha
LANGUAGE
kimeandikwa na nicholous ashery
 
Wapo nyumbani hawana ajira, wengine wanafanya kazi na kulipwa mshahara kidogo,
In shortly waliosoma wengi wao wakimaliza masomo hutegemea kuajiriwa, na hata kama hatopenda kuajiriwa na kuamua kujiajiri hatokuwa na mtaji wa kutosha au asiwe nao kabisa huo mtaji wa kuanzia biashara yake.
Hivyo muda mwingi atakuwa hafanyi shughuli yeyote au atafanya shughuli ambayo hakutarajia kufanya ila ilimbidi afanye kusudi aweze kuishi.

Kwa upande mwingine mtu asiye soma ama alisiyekuwa na elimu muda mwingi hutumia akili kutafuta pesa mtaani haijalishi ni kazi gani atafanya ila akili ya kutafuta pesa atakuwa nayo maradufu, hii ndio tofauti ya aliyesoma & asiyesoma.

Hao niliosoma nao na walioendelea bado hawajaweza kunizidi kipato.
Nimewaonea huruma.

" try to be different "

" if you want it, you have to work for it "
Alie kwambia tunataka kwenda shule il tupate kaz nan...... We kweli ujasoma we
Mbona S.A watu wamesoma karbu nchi nzima lakin hawana kaz na wanaish na kufankiwa kimaisha
We utakua uliona bora ktoa p... mtaan
Asante kwa ushauri lakin
 
Alie kwambia tunataka kwenda shule il tupate kaz nan...... We kweli ujasoma we
Mbona S.A watu wamesoma karbu nchi nzima lakin hawana kaz na wanaish na kufankiwa kimaisha
We utakua uliona bora ktoa p... mtaan
Asante kwa ushauri lakin
Naona hujanielewa,
Hakuna binadamu anayepata basic needs na wants bila kufanya kazi, haijalishi umesoma au hujasoma, ni lazima utahitaji kuwa na malengo ya kufanya kitu fulani au jambo fulani utaweza vipi kutimiza malengo yako bila kulifanyia kazi hilo suala,

Utasoma lakini utafanya kazi haijalishi ni kazi.

Kama hukusoma ni lazima pia ufanye kazi, haijalishi ni kazi gani.

" be patient, great things take time "
 
Wapo nyumbani hawana ajira, wengine wanafanya kazi na kulipwa mshahara kidogo,
In shortly waliosoma wengi wao wakimaliza masomo hutegemea kuajiriwa, na hata kama hatopenda kuajiriwa na kuamua kujiajiri hatokuwa na mtaji wa kutosha au asiwe nao kabisa huo mtaji wa kuanzia biashara yake.
Hivyo muda mwingi atakuwa hafanyi shughuli yeyote au atafanya shughuli ambayo hakutarajia kufanya ila ilimbidi afanye kusudi aweze kuishi.

Kwa upande mwingine mtu asiye soma ama alisiyekuwa na elimu muda mwingi hutumia akili kutafuta pesa mtaani haijalishi ni kazi gani atafanya ila akili ya kutafuta pesa atakuwa nayo maradufu, hii ndio tofauti ya aliyesoma & asiyesoma.

Hao niliosoma nao na walioendelea bado hawajaweza kunizidi kipato.
Nimewaonea huruma.

" try to be different "

" if you want it, you have to work for it "
Sawa mkuu tupe mbinu bas na cc ili tukiacha kusoma tufany kama ulivofany ww
 
Hapo kwa hkl ni lazma uwe na vitabu vifuatavyo
ADVANCED MASTERING1
ADVANCED MASTERING2~by mwalimu kato
ESSENTIAL ADVANCED HISTORY~saleh yasin
CONTEMPORALY HISTORY by mwalimu shibitali

KISWAHILI
NYAMBARI NYANGWINE kinatosha
LANGUAGE
kimeandikwa na nicholous ashery
Ahsante sana mkuu
 
Sawa mkuu tupe mbinu bas na cc ili tukiacha kusoma tufany kama ulivofany ww
Life are differ.
Fanya kile unachoona wewe unakiweza usifanye kwa kuwa mwingine amefanya,
Kama unasoma nenda shule kasome ila kwa mfumo huu wa elimu Tanzania, ni sawa na kujaza maji kwenye gunia.

" make yourself priority "
 
Life are differ.
Fanya kile unachoona wewe unakiweza usifanye kwa kuwa mwingine amefanya,
Kama unasoma nenda shule kasome ila kwa mfumo huu wa elimu Tanzania, ni sawa na kujaza maji kwenye gunia.

" make yourself priority "
Ok bas tutafany tunachotaka kama elim hatutapata ajira bas tutajiajir
 
Jaman kwa anauejua vitabu na vitu vingine ambavyo mwanafunz anaye soma chemistry na biology lazma awe navo
NASHUKURU MKINITAJIA LIST...
Hakuna kitabu ambacho ni lazima uwe nacho as at advanced level esp for science no specific book authorized but mimi binafsi kwa chemistry nilitumia CHAND(Kidogo, coz kuna wataalamu wanatoa materials mazuri tu yanayokubalika)na BIOLOGICAL SCIENCE for bios!

Na unaonekana unakwenda kusoma masomo mawili tu yaani comb. yako ni ?CB thats ridiculous!
 
Kama hkl simple unaeza anza kupiga msuli hata saiz aisee ingia play store angalia kuna app inaitwa thl inanotes zote form 1 up to six
 
Hakuna kitabu ambacho ni lazima uwe nacho as at advanced level esp for science no specific book authorized but mimi binafsi kwa chemistry nilitumia CHAND(Kidogo, coz kuna wataalamu wanatoa materials mazuri tu yanayokubalika)na BIOLOGICAL SCIENCE for bios!

Na unaonekana unakwenda kusoma masomo mawili tu yaani comb. yako ni ?CB thats ridiculous!
Ni kweli ujinga ila na mm nqmaamz yangu
 
Back
Top Bottom