Naomba kufahamishwa vigezo vya kupata mkopo HESLB kwa diploma holder

Fernando Jr

JF-Expert Member
Jul 12, 2017
3,220
4,804
Wakuu habari za wasaa huu?

Kama heading inavyoeleza, naomba kufahamishwa HESLB wana vigezo vipi katika kutoa mikopo kwa wanafunzi ambao wanaingia wakiwa na stashahada (equivalent entry).

Naomba hasa kigezo cha muda (mhusika awe ana miaka mingapi tangu ahitimu stashahada yake).

Pia kama ni mtumishi anapata mkopo?
 
Subiri bodi ikitoa mwongozo mpya wa mwaka huu. Mbona una haraka sana?

#MaendeleoHayanaChama
Nataka nianze maandalizi mapema, huku nikijua kiwango cha msoto nilicho nacho.

Si unajua maisha tuliyo nayo sisi 'wanyonge'...
 
Wakuu habari za wasaa huu?

Kama heading inavyoeleza, naomba kufahamishwa HESLB wana vigezo vipi katika kutoa mikopo kwa wanafunzi ambao wanaingia wakiwa na stashahada (equivalent entry).

Naomba hasa kigezo cha muda (mhusika awe ana miaka mingapi tangu ahitimu stashahada yake).

Pia kama ni mtumishi anapata mkopo?
Kama una kauwezo hata kadogo ka kujisomesha NAKUSHAURI KAA MBALI NA LOAN BOARD.

Leo hutanielewa ila siku ukikumbuka hili bandiko itakua too late.
 
Kama una kauwezo hata kadogo ka kujisomesha NAKUSHAURI KAA MBALI NA LOAN BOARD.

Leo hutanielewa ila siku ukikumbuka hili bandiko itakua too late.
Mkuu nakuelewa sana, ila kama nilivyosema awali, maisha ya 'kinyonge' ndiyo changamoto.
 
Back
Top Bottom