Naomba kufahamishwa utaratibu wa kupata leseni ya wafanya biashara wadogo mbadala wa vitambulisho vya Magufuli

Maombi ya kitambulisho yatapokelewa katika Mkoa/Manispaa/Halmashauri husika kupitia mfumo wa kieletroniki wa TAMISEMI(www.tamisemi.go.tz) au kupitia Machinga App inayopatikana kwenye simu yako ya kiganjani kwa kujaza taarifa binafsi na biashara kama ifuatavyo:-Jinsia,hali ya ndoa, Makadiriao ya mauzo,muda wa makadirio,aina ya biashra,Mkoa ilipo biashara,Wilaya biashara ilipo na eneo la biashara.

Taarifa hizo zitahakikiwa na kupitishwa na Halmashauri husika kwa hatua ya awali ya mchakato wa uchapishaji wa vitambulisho.

Kwa wale ambao watashindwa kutumia nji hizo hapo juu, watatakiwa kwenda ofisi za Halmashauri zilizo jirani yao ili waweze kupata msaada wa kujisajili.
 
Maombi ya kitambulisho yatapokelewa katika Mkoa/Manispaa/Halmashauri husika kupitia mfumo wa kieletroniki wa TAMISEMI(www.tamisemi.go.tz) au kupitia Machinga App inayopatikana kwenye simu yako ya kiganjani kwa kujaza taarifa binafsi na biashara kama ifuatavyo:-Jinsia,hali ya ndoa, Makadiriao ya mauzo,muda wa makadirio,aina ya biashra,Mkoa ilipo biashara,Wilaya biashara ilipo na eneo la biashara.

Taarifa hizo zitahakikiwa na kupitishwa na Halmashauri husika kwa hatua ya awali ya mchakato wa uchapishaji wa vitambulisho.

Kwa wale ambao watashindwa kutumia nji hizo hapo juu, watatakiwa kwenda ofisi za Halmashauri zilizo jirani yao ili waweze kupata msaada wa kujisajili.
Asante Sana nimefanikiwa, Kwa kutumia Machinga App ni rahisi sana
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom