kigogo1ivi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 534
- 323
Samahani Wakuu naomba kufahamu ni Benki gani naweza kufungua akanti na nikapata kadi kwa maana ninapotaka kufungulia akaunti ni mkoa tofauti na ninapoishi nahofia kuiacha alafu baadaye nikalazimika kuingia gharama kuifuata tena