Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Salamu ndg zangu.Poleni na stress!
Kumekuwa na teuzi mbalimbali kwenye nafasi za Mwenyekiti wa Bodi fulani fulani.Mfano Bodi ya Maziwa. Bodi ya Nyama.Bodi ya Mfuko fulani nk nk.
Hawa huteuliwa na Mh Rais.
Naomba kujua stahiki za wenyeviti wa bodi interms of:
1. Mshahara
2. Posho za vikao
3. Kupewa gari la serikali
4. Kupewa nyumba ya serikali
5. Nguvu yao nk nk
Asanteni sana
Kumekuwa na teuzi mbalimbali kwenye nafasi za Mwenyekiti wa Bodi fulani fulani.Mfano Bodi ya Maziwa. Bodi ya Nyama.Bodi ya Mfuko fulani nk nk.
Hawa huteuliwa na Mh Rais.
Naomba kujua stahiki za wenyeviti wa bodi interms of:
1. Mshahara
2. Posho za vikao
3. Kupewa gari la serikali
4. Kupewa nyumba ya serikali
5. Nguvu yao nk nk
Asanteni sana