Navojua hautafika Mwanza siku hiyo hiyo, utalala njiani.. Ni safari ya zaidi ya saa 18Samahanin kama kuna mtu anafaham nauli kutoka Mwanza hadi Tanga na mda unaotumika kusafiri kwa bus naomba aniambie
Na unachkua mda gani kufika
Navojua hautafika Mwanza siku hiyo hiyo, utalala njiani.. Ni safari ya zaidi ya saa 18
Ukifuata njia ya bomba la mafuta ya Hoima-Tanga Mwanza-Tanga ni karibu sana maana unakatisha Simiyu lakini ukifuata barabara Dar Mwanza ni karibuMkuu kutoka Mwanza-Dar na Mwanza -Tanga wapi mbali boss?
Mwanza Dsm ni mbali kwa Google ya kilometre 1200,Mkuu kutoka Mwanza-Dar na Mwanza -Tanga wapi mbali boss?