Oppomall
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 3,496
- 3,591
Poleni na majukumu wakuu.
Kuna wakati TRA huwa wanauza magari pale bandarini kwa njia za minada, sasa ombi langu ni hivi.
Naomba kufahamishwa namna ya kutoa gari baada ya kulifanyia malipo ukoje? Kwamfano umeambiwa gari inauzwa milioni 10 kutakua na gharama zingine za ziada au hatua zozote zitakazohitaji wakala au mtu binafsi tu anaruhusiwa?
Naomba kuwasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wakati TRA huwa wanauza magari pale bandarini kwa njia za minada, sasa ombi langu ni hivi.
Naomba kufahamishwa namna ya kutoa gari baada ya kulifanyia malipo ukoje? Kwamfano umeambiwa gari inauzwa milioni 10 kutakua na gharama zingine za ziada au hatua zozote zitakazohitaji wakala au mtu binafsi tu anaruhusiwa?
Naomba kuwasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app