Usinunue gari bongo. UtajutaKikubwa na changamoto ya pale aelezwe pia.Matapeli mlimani city ni wengi kuliko real people-na hata hao madalali ukiwazoea vizuri watakwambia visanga vya hapo;
I think last year mama mmoja alikuwa atapeliwe millions sema ponea yake ni walinzi wa pale nmb sinza ndiyo waliomwokoa baada ya watu kusoma mchezo kwa mbali!.
Pia madalali wengi wa pale hawatumii their real names hivyo mm ninaona ni dalili ya watu kutokuwa Honest. Be extra carefull than ever;Believe me! Dont just trust;verify,verify,verify,verify.
Ndo madalali hao. Kwa nn huangaike na madalali wakat mtu unaweza kuagiza mwenyewe Japan/UKNina jamaa yangu nimefanya nae kazi akaacha akaenda kufungua ofisi ya kuuza magari pale unaweza kumcheki
Tenga Motors ofisi yake ipo pale mlimani tower.
+255689274700. Tenga Motors
Ndo madalali hao. Kwa nn huangaike na madalali wakat mtu unaweza kuagiza mwenyewe Japan/UK
Usinunue gari bongo. Utajuta
Nasemea experience yangu chief. Nilinunua Crown kwa 6.8m mwezi 12 mwaka 2019 lakin gharama nilizotumia mpaka Sasa zinafikia 8.9mMbona watu naona wananunua na kuuza magari kila siku, kwa madalali!
Nasemea experience yangu chief
Vitz za honda.Poa. Halafu sikia mkuu, natafuta Honda Fit mzee. Ukisikia mahali mtu wanauza nijulishe. Unazijua lakin Honda Fit?
Upo sawa kabisa, gari ya mkononi mwa mtu ni zaidi ya danger.. nilinunua gari kwa 14 million, ilianza kunichuna pesa.. nilijikuta matengezo ya hapa na pale ni zaidi ya mill 14+ juu juu around 28 mill.. kwa uchungu niliiuza milion 7 😭😭😭😭.. sitokaa ninue gari mkononi mwa mtuNasemea experience yangu chief. Nilinunua Crown kwa 6.8m mwezi 12 mwaka 2019 lakin gharama nilizotumia mpaka Sasa zinafikia 8.9m