MalcolM XII
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,230
- 14,190
Wakuu,
Ni muda mrefu sasa nimekuwa nikisikia hii show maarufu ya Big Brother, inayowachukua watu tofauti tofauti kutoka nchi za Afrika kuingia katika mjengo mmoja na mwisho wa siku mtu kuibuka na kitita kinene.
Habari zake zilikuja kupamba zaidi baada ya Mtanzania Idris Sultan kushinda, hata sikumbuki ni mwaka gani!
Sasa nimekuja na huu uzi kwenu wana JF mnaojua au mliofuatilia baadhi ya show za Big Brother, mnipe habari zinazoendelea mule ndani; yaani namna gani mchakato unaendelea, vipi mshindi anapatikana, n.k lengo na sisi wengine tupate kufuatilia kwa misimu ijayo.
Nasikia pia kwichi kwichi zipo kiaina😎
😅😅
Ni muda mrefu sasa nimekuwa nikisikia hii show maarufu ya Big Brother, inayowachukua watu tofauti tofauti kutoka nchi za Afrika kuingia katika mjengo mmoja na mwisho wa siku mtu kuibuka na kitita kinene.
Habari zake zilikuja kupamba zaidi baada ya Mtanzania Idris Sultan kushinda, hata sikumbuki ni mwaka gani!
Sasa nimekuja na huu uzi kwenu wana JF mnaojua au mliofuatilia baadhi ya show za Big Brother, mnipe habari zinazoendelea mule ndani; yaani namna gani mchakato unaendelea, vipi mshindi anapatikana, n.k lengo na sisi wengine tupate kufuatilia kwa misimu ijayo.
Nasikia pia kwichi kwichi zipo kiaina😎
😅😅