MUBIKU
JF-Expert Member
- Oct 24, 2014
- 276
- 376
Wakuu habari za muda huu, leo ni siku ya mapumziko poleni na mihangaiko ya juma zima. Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza nilipenda kufahamu juu ya mkopo kutoka Benki kuu ya Tanzania (HAZINA).
Hii ni kutokana na ukweli kwamba maisha bila kuchukua mkopo huwezi kufikia malengo kwa muda mfupi, hivyo basi kama ilivyo ada mtego mkubwa wa wafanyakazi wa Serikalini ni kudumbukia kwenye mikopo kutoka mabenki ya kibiashara ambayo yamejaaa Riba kubwa mnoo inayopelekea maumivu kwa mtumishi.
Aidha ningependa kufahamu kuhusu juu ya huo mkopo kutoka HAZINA maana nimeskia ni mkopo wenye riba ndogo sana , hivyo wakuu kwa wenye uelewa kuhusu hilo naomba anijuze ili niende nikapate huduma hiyo.
Ahsanteni na karibuni kwenye mjadala huu.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba maisha bila kuchukua mkopo huwezi kufikia malengo kwa muda mfupi, hivyo basi kama ilivyo ada mtego mkubwa wa wafanyakazi wa Serikalini ni kudumbukia kwenye mikopo kutoka mabenki ya kibiashara ambayo yamejaaa Riba kubwa mnoo inayopelekea maumivu kwa mtumishi.
Aidha ningependa kufahamu kuhusu juu ya huo mkopo kutoka HAZINA maana nimeskia ni mkopo wenye riba ndogo sana , hivyo wakuu kwa wenye uelewa kuhusu hilo naomba anijuze ili niende nikapate huduma hiyo.
Ahsanteni na karibuni kwenye mjadala huu.