sura mbaya
Member
- Mar 5, 2013
- 80
- 5
Wana JF naomba kufamishwa:
1) Mwaka jana 2018 chuo cha lugalo kilifungiwa na nacte. Naomba kufahamushwa kama kimeruhusiwa kufanya udahili tena.
2) Nilijaribu kumtuma mtu akanichukulie form ya kujiunga akaambiwa aingie website ya NACTE lakini hatuja fanikiwa. Naomba kufahamishwa jinsi ya kujisajili na chuo cha lugalo. Nimejaribu kufungua website http://www.mcmslugalo.ac.tz haifunguki kabisaaa.
Naomba kuwasilisha kwenu wakuu.
1) Mwaka jana 2018 chuo cha lugalo kilifungiwa na nacte. Naomba kufahamushwa kama kimeruhusiwa kufanya udahili tena.
2) Nilijaribu kumtuma mtu akanichukulie form ya kujiunga akaambiwa aingie website ya NACTE lakini hatuja fanikiwa. Naomba kufahamishwa jinsi ya kujisajili na chuo cha lugalo. Nimejaribu kufungua website http://www.mcmslugalo.ac.tz haifunguki kabisaaa.
Naomba kuwasilisha kwenu wakuu.