Jamani naomba kufahamishwa kwa undani kuhusu hiyo fakati:
1. Ajira zake zinapatikana? (ikiwezekana na mifano)
2. Inahusika na nini? Unaajiriwa kwenye Sekta gani? Ni hayo tu
3. Vyuo gani bora kwenye hiyoo kozi kati ya CBE NA T.I.A
Kama ndio option yako na iko ndani ya uwezo wako kasome, ukishakuwa na degree yako swala la kupata kazi ni kumtanguliza Mungu, utapata tu, au hujawahi kusikia waandishi wa habari wamekuwa wakuu wa wilaya au wakurugenzi,sembuse wewe na kozi yako ya utawala!hiyo ni mifano tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.