Wanaulizaga maswali ya kupima uelewa wa kawaida
Maranyingi yanakuwa maswali ya multiple choice
Na pia time based ukichelewa tu kujibu swali , linaondoka linakuja jingine au muda ukiisha system inajifunga
Maswali yao yanakuwa very trick na majibu yanakuwa yanafanana sana yanataka maauzi yaharaka ili kwenda na muda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.