NAAMINI
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 672
- 231
Mkuu Naamini, mbona unatukana mtu wakati hilo liko wazi mkuu, masistaduu wachache wako rural na btm tena wanahesabika.
wapo wengi...na ww unaongea ulichosikia hila mm naongea nachojjua..
Mkuu Naamini, mbona unatukana mtu wakati hilo liko wazi mkuu, masistaduu wachache wako rural na btm tena wanahesabika.
wapo wengi...na ww unaongea ulichosikia hila mm naongea nachojjua..
Mkuu sitaki kudeclare interest. Haya bhasi tufanye wewe umeshinda.
mkuu...hivi wewe ni kidudu wa agricultural management au yupi...
Mkuu sitaki kudeclare interest. Haya bhasi tufanye wewe umeshinda.
Habari Zenu Wapendwa...
Naomben Mnisaidie Kwa Anaefaham Hyo Coz Hapo Juu Anifahamishe About Merits,demerits And Future Outlook (ntafanya Kaz Gan Nkimaliza Na Upatkanaji Wa Ajira) Yke Ikoje Pia Mxul Wake Uko Vp Hpo SUA Na Mambo Mengne Mnayofaham Kuhusu Hiyo Facult Kawa Vle Ushauri Kama Ni Nzur Au Vp,,!
Naomba Msaada Wenu Jaman
our question is agribusiness and agricultural economic has any favor for our status we have?
unaenda kinyume na msingi ya jamiiforums
unaenda kinyume na msingi ya jamiiforums
kumbe umesikia.....endelea kusikia tu...mbona hata mimi nimesikia wewe shoga.
aaaahhh duuuhh ww kiboko ulivyomjibu SUPERUSER, mkuu unatisha
je kwa sasa mwenye division 3 anaweza kuipata?
Hakuna course acheni kujidanganya nenda SUA,UDSM,IFM kote huko lazima ukaze msuli.
inategeana ni div 3 ya ngapi na matokeo kwa ujumla ya taifa..kama mabay basi rahs kidogo.nje ya hapo kuna cut throat competition
heshima kwako mkuu unaongea kilichopo duniani mm nasoma sua wala cjawahi kuona ugum wa sua achane na hao vilaza aje sua asome