Poluyakhtov
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 353
- 296
Habari za muda huu wadau wa Elimu Tanzania.
Bila kupoteza muda,nimekuwa nikipitia Guide book ya NACTE mara kwa mara ili kutafuta kozi ya kusomea.
Lengo langu ni kusomea CIVIL ENGINEERING ngazi ya Astashahada na hapo baadaye panapo majaliwa nitasoma ngazi za juu zaidi.
Sasa katika upitiaji wangu nimekutana na kozi ya " BASIC TECHNICIAN CERTIFICATE IN CIVIL ENGINEERING AND COMMUNITY DEVELOPMENT ambayo inatolewa chuo cha MABUGHAI COMMUNITY DEVELOPMENT
TECHNICAL TRAINING INSTITUTE - LUSHOTO.
Hivyo basi naomba kufahamishwa kama kuna tofauti yoyote kati ya kozi hiyo na hizi za CIVIL ENGINEERING zinazotolewa DIT,ATC,KIST na MUST.
Alasiri njema.
Bila kupoteza muda,nimekuwa nikipitia Guide book ya NACTE mara kwa mara ili kutafuta kozi ya kusomea.
Lengo langu ni kusomea CIVIL ENGINEERING ngazi ya Astashahada na hapo baadaye panapo majaliwa nitasoma ngazi za juu zaidi.
Sasa katika upitiaji wangu nimekutana na kozi ya " BASIC TECHNICIAN CERTIFICATE IN CIVIL ENGINEERING AND COMMUNITY DEVELOPMENT ambayo inatolewa chuo cha MABUGHAI COMMUNITY DEVELOPMENT
TECHNICAL TRAINING INSTITUTE - LUSHOTO.
Hivyo basi naomba kufahamishwa kama kuna tofauti yoyote kati ya kozi hiyo na hizi za CIVIL ENGINEERING zinazotolewa DIT,ATC,KIST na MUST.
Alasiri njema.