Same hapa, naomba details ninauhitaji
Nenda kwenye website yao then download prospectus usome.Habari ya saa hizi ndugu zangu.
Naomba msaada kwa yeyote mwenye detail na kozi ya CYBER SECURITY AND DIGITAL FORENSIC SCIENCE inayofundishwa Chuo Kikuu cha Dodoma.
Kuna mdgo wangu anahitaji kusoma hiyo kozi nawaalikeni tumsaidie mdgo wangu.
wakikujibu unitag mkuuHabari ya saa hizi ndugu zangu.
Naomba msaada kwa yeyote mwenye detail na kozi ya CYBER SECURITY AND DIGITAL FORENSIC SCIENCE inayofundishwa Chuo Kikuu cha Dodoma.
Kuna mdgo wangu anahitaji kusoma hiyo kozi nawaalikeni tumsaidie mdgo wangu.
Mimi nakwambia ipo wewe unasema haipo. Anyway kila la heri.Kwenye prospectus haijaandikwa mkuu.
Kama haipo kwenye prospectus basi haipo udomKwenye prospectus haijaandikwa mkuu.
All i have ni inahitaji advanced Math na other Science SubjectsHabari ya saa hizi ndugu zangu.
Naomba msaada kwa yeyote mwenye detail na kozi ya CYBER SECURITY AND DIGITAL FORENSIC SCIENCE inayofundishwa Chuo Kikuu cha Dodoma.
Kuna mdgo wangu anahitaji kusoma hiyo kozi nawaalikeni tumsaidie mdgo wangu.