Habari wana jf
Naomba kufahamu ilipo sober house inayohusika na kurekebisha walioathirika na madawa ya kulevya. Nimeambiwa ipo hapa dar, lakini sijajua ni sehemu gani. Asanten
Jamani wana Jf kuna mtu ana mawasiliano ya hawa jamaa wa sober house hapa dar kule kigamboni au popote hapa dar, nina ndugu hapa ambaye ni tatizo hapa.
Jamani wana Jf kuna mtu ana mawasiliano ya hawa jamaa wa sober house hapa dar kule kigamboni au popote hapa dar, nina ndugu hapa ambaye ni tatizo hapa.
Rehema Chalamila a.k.a Ray C ana foundation inayohusika na aya mambo fanya kumcheki instagram kwa jina la rayc82 mpe hii habari naamini atakupa msaada kwenye tatizo lako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.