Ndugu wana jf, nataka kuanza kufanya mazoezi kwenye gym, naomba kufahamishwa ilipo gym nzuri na trainers wazuri pamoja na malipo kwa mwezi katika maeneo haya Mwenge, Mbezi (Bagamoyo road) , Tegeta na Kunduchi, aksanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.