Naomba kufahamishwa ilipo gym nzuri maeneo haya:

kamikaze

JF-Expert Member
Jan 25, 2011
422
610
Ndugu wana jf, nataka kuanza kufanya mazoezi kwenye gym, naomba kufahamishwa ilipo gym nzuri na trainers wazuri pamoja na malipo kwa mwezi katika maeneo haya Mwenge, Mbezi (Bagamoyo road) , Tegeta na Kunduchi, aksanteni
 
Back
Top Bottom