Msukuma 94
Senior Member
- Apr 21, 2017
- 133
- 91
Habarini wanaJF naomba kujua kuhusu form 6 waliomaliza mwaka jana na walikosa sifa za kujiunga vyuo vikuu ivyo serikali ikatoa tamko la kuwataka kujiunga na JKT je walipata fursa ya kuendelea na jeshi au walirejea makwao baada ya kuhitimu?. Nina ndugu yangu nae kakosa sifa za kuingia chuo je anaweza kujiunga kama awamu ya pili ya JKT itatoka?