Naomba kufahamishwa gharama ya Kujenga msingi

Habari zenu wakuu, nilitaka kuanza ujenzi ila kwa awamu, sasa nimemuuliza mchora ramani (kuna ramani nataka kuichukua kutoka kwake) vyumba ni vitatu (master included) nikamuuliza msingi wake unaweza kugharimu bei gani?

kaniambia mil 12 kidogo nizimie.

Ambao mmejenga naombeni mnijuze mlitimia sh ngapi kwenye msingi
Njoo in box nikupe hesabu ,

Wasap 0753927572

Njoo na
1-Vipimo
2-Hali ya uwanja (flat au slop)
3-Eneo liko mko na wilaya gani
 
Kuwa na Maono ya Mbali

Jenga nyumba kubwa ila anza mdogo mdogo hata ikichukua miaka 10 we target room 8 au 6 vyote master. Mimi ndio target yangu hii. Kiwanja cha slope ndio chenyewe cz unatoa underground.

Kwenye material simamia show mwenyewe mwa mwi. Naamini inawezekana. Epuka kujenga mara mbili mbili.

Amini Ujenzi Sio Gharama Kama Unavyotishwa. Kuna Jamaa Aliniambia Nyumba Yake Ya Room 3 (Vyote Master) alitumia 90 Million mpaka kuhamia. Nikaogopa sana pasipo kuelewa....Aaaah mimi nipe hyo 90 Million uone kama sioteshi ghorofa floor mbili na kuhamia nahamia mpaka na fence.

Again its not what t seems. Anza Kujenga Utashangaa Mungu atakavyo kuongoza utajiuliza ulikua wapi siku zote.
Mi nadhani kila mtu anazo standard zake za nyumba anayotaka hasa kwenye uimara. Mimi nimesimamia ujenzi mwenyewe na vifaa nimenunua mwenyewe, nimetumia milioni ishirini na moja hivi boma pekee yake bila kupaua. Nyumba ni vyumba vitatu vya kulala, jiko, sebule na dining. Msingi pekee ilikula 9.5-10M hadi kujaza kifusi bila kumwaga jamvi. So gharama za ujenzi inategemea mwenye nyumba unataka standard gani ya uimara. Kwa ramani yangu hiyo hiyo mtu angeweza kujenga msingi pekee kwa 5M lkn standard haziwezi kufanana na zangu. So gharama za ujenzi ni very relative, mi nyumba yangu ina jumla ya kozi 16 lakini mwingine hiyohiyo anaishia kozi 12 tu na kuezeka.
 
Mi nadhani kila mtu anazo standard zake za nyumba anayotaka hasa kwenye uimara. Mimi nimesimamia ujenzi mwenyewe na vifaa nimenunua mwenyewe, nimetumia milioni ishirini na moja hivi boma pekee yake bila kupaua. Nyumba ni vyumba vitatu vya kulala, jiko, sebule na dining. Msingi pekee ilikula 9.5-10M hadi kujaza kifusi bila kumwaga jamvi. So gharama za ujenzi inategemea mwenye nyumba unataka standard gani ya uimara. Kwa ramani yangu hiyo hiyo mtu angeweza kujenga msingi pekee kwa 5M lkn standard haziwezi kufanana na zangu. So gharama za ujenzi ni very relative, mi nyumba yangu ina jumla ya kozi 16 lakini mwingine hiyohiyo anaishia kozi 12 tu na kuezeka.

Kozi 16 kuanzia wapi?
 
Ni vyema kuzingatia uwezo wako na kile unachotaka kujenga. Mfano mzee wangu alijenga jumba kubwaa lina mavyumba makubwaa nane limeishia boma tu hadi saivi uwezo wa kulifunika hana.
My take jenga kutokana na uwezo wako.
 
Kwanza sidhani kama rules and regulations za nyumba za wageni zinawaruhusu ku host wagonjwa.


Okay sawa, Baba Mkwe anaumwa kaja mjini umemsweka guest house, sawa.

Vivulana vitatu, baba na mama,
msichana wa kazi, vyumba vitatu, mnalalaje ?
Watu wana familia kama hiyo na wamepanga vyumba viwili na sebule. Kila mmoja anaishi kulingana na kipato chake.

Kama uwezo wake unaruhusu kujenga vyumba 3 acha ajenge. Namna ya kulala ataarange mwenyewe.
 
Habari zenu wakuu, nilitaka kuanza ujenzi ila kwa awamu, sasa nimemuuliza mchora ramani (kuna ramani nataka kuichukua kutoka kwake) vyumba ni vitatu (master included) nikamuuliza msingi wake unaweza kugharimu bei gani?

kaniambia mil 12 kidogo nizimie.

Ambao mmejenga naombeni mnijuze mlitimia sh ngapi kwenye msingi

Mimi nilijenga msingi kwa 2.2M room 3 including Master bedroom jiko, sebule, dining n.k
 
Bei ya msingi inategemea pia unanyanyua kozi ngapi za tofali kwahio hakuna garama standard,ukiweka msingi mrefu ni kawaida utatumia gharama kubwa kwani tofali zitatumika nyingi na cement ,hata kujaza kifusi kwenye msingi pia hivyo hivyo inategemea na ukubwa
 
Bei ya msingi inategemea pia unanyanyua kozi ngapi za tofali kwahio hakuna garama standard,ukiweka msingi mrefu ni kawaida utatumia gharama kubwa kwani tofali zitatumika nyingi na cement ,hata kujaza kifusi kwenye msingi pia hivyo hivyo inategemea na ukubwa
Upo sahihi sana mkuu
 
Ni kweli nyumba inakuwa ndefu sana. Lakini pia inapunguza joto ndani, nyumba inakuwa na mwonekano mzuri. Pia binafsi napenda nyumba ndefu, ni personal preference
Nyumba iliyoenda Juu ni nzuri na ina faida mingi sana, Napenda nyumba za namna hiyo.

Kuweka Taa tu lazima itafutwe ngazi, sio nyumba ukipanda juu ya stuli tu ushafikia Holder..

Mkuu unajenga nyumba nzuri sana sijaiona ila nai feel....
 
Nimeishi nyumba ya vyumba viwili vya kulala (kimoja cha wazazi) na jiko na sebule mule ndani tulikua sio chini ya 15...familia ilikuja kupungua baadae sana baada ya mzee kufariki.

Nami huwa najiuliza haya maswali kama wewe napiga hesabu sijui room ya watoto ke, watoto me, wageni me, wageni ke naona nyumba ya room 3 ndogo.... nikiwaza ile nyumba yetu naishia kucheka.
Eve umefika wapi ile ishu ya ujenzi?

Mi kichwa kinawaka balaa na jumamosi hii naenda huko, full presha

Evelyn Salt
 
Braza watu tuna focus mbali (Mungu tu anijahalie umri mrefu ) ila tunaanza taratibu leo....kuna private office, study room ya madogo, top floor living room, laundry room, kitchen and store kwa nnje kuna underground ambayo ni gym na lounging area nikiwa na ndugu, jumuiya na wana.

Unakuta Msingi wa ghorofa 2 ila unaanza underground na ground floor taratibu tu...ila mi ndio itakua nyumba yangu ya ujanani na uzee na sehem ya kufuga ipo as i speak ninaishi hapa hapa....plot kubwa tu. In 7 - 8 years itakamilika kila kitu hivi hivi mdogo mdogo. Kwani nalala nnje ?? Hehe Document zote halali za property yangu ninazo....hapo tu in less than 40 minutes drive nafika mlimani city

All my life i’ll be developing the place i live and its my first house labda nije kuwa multi-billionaire ndio nitahama.

Maisha Kuchagua.
Una mambo ya kizungu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom