Ndio mkuu kwa sababu SUMATRA haipoKwahiyo mkuu, badala ya kulipa kibali cha SUMATRA inalipwa kibali cha LATRA?
Ngoja waje kukupa muongozo, mimi sijuiSawa ni bei gani
Andaa Milioni 8Sawa ni bei gani
Kubadili kadi 20k tu. Ila kuhusu sumatra binafsi sijuiWakuu habarini za majukumu, naomba kufahamishwa gharama ya kubadili kadi ya umiliki wa gari / bajaji ni kiasi gani cha pesa?
Na gharama ya kukata kibali cha Sumatra ni bei gani?
Kwaajili ya kununua tena gari?