cleokippo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 2,072
- 1,697
Habarini za asubuhi wanajamvi,
kama chichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza....mara kwa mara nimekuwa nikiingia baadhi ya app kwenye sim huwa nakutana na neno scan QR CODE mfano kwenye app ya mpesa, kwenye profile picha ya contact nk.
Sasa neno hili limekuwa gumu kidogo kwangu kulielewa ...kwaiyo kwa faida na ya wadau wengine ambao hawana ufaham kama mimi mwenye uelewa nalo tunaomba atufahamishe nn maana ya QR CODE na pia nini matumizi ya hili neno na wanaposema scan tunawezaje ku scan kwa mfano simu haina app ya ku scan?
Asanten sana wadau naomba kuwasilisha....! Chief mkwawa kama upo jukwaan tupe msaada kaka
kama chichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza....mara kwa mara nimekuwa nikiingia baadhi ya app kwenye sim huwa nakutana na neno scan QR CODE mfano kwenye app ya mpesa, kwenye profile picha ya contact nk.
Sasa neno hili limekuwa gumu kidogo kwangu kulielewa ...kwaiyo kwa faida na ya wadau wengine ambao hawana ufaham kama mimi mwenye uelewa nalo tunaomba atufahamishe nn maana ya QR CODE na pia nini matumizi ya hili neno na wanaposema scan tunawezaje ku scan kwa mfano simu haina app ya ku scan?
Asanten sana wadau naomba kuwasilisha....! Chief mkwawa kama upo jukwaan tupe msaada kaka