Umuhimu wako na uwepo wako hapa 'JamiiForums' hauwezi Kujulikana mpaka unichokoze / unitusi. Asante kwa 'Kunifanya' nizidi kuwa Maarufu.Another hopeless shit in the track
Sielewi ulichokisema ila mimi nimekuelezea haki ya nchi husika yaani "host nation" kutangaza persona non grata kwa balozi ambae hawana imani nae.Unachosema kuhusu Mkataba wa Vienna si sahihi. Kila serikali ya nchi inaamua yenyewe itamteua nani. Akiteuliwa na kutajwa kwa serikali ya nchi nyingine, nchi ile (inayompokea) inaweza kumkataa (ambayo kwa kawaida hawafanyi maana inaleta matatizo katika uhusiano) . Mengnevyo hupokelewa ndiya balozi. kama alipita kwenye chuo cha nini au alifuga kuku au nini- Hii haidhuru kisheria, si sehemu ya mkataba wa Vienna. Ukiona tofauti, heri ulete nukuu!
Jisomee hapa: UNTC
Soma ulichoandika "balozi Wright hana uzoefu wa masuala ya kidiplomasia kwa kushiriki bega kwa bega shughuli za kisiasa ndani ya nchi husika kinyume na mkataba wa Vienna au Vienna Convention"Sielewi ulichokisema ila mimi nimekuelezea haki ya nchi husika yaani "host nation" kutangaza persona non grata kwa balozi ambae hawana imani nae.
Mkuu,Soma ulichoandika "balozi Wright hana uzoefu wa masuala ya kidiplomasia kwa kushiriki bega kwa bega shughuli za kisiasa ndani ya nchi husika kinyume na mkataba wa Vienna au Vienna Convention"
Kuwa na uzoefu au kukosa uzoefu wa maswali ya kidiplomasia si kitu kinachojadiliwa katika mkataba huo. Haidhuru kisheria.
Kila kuhusu kumkataa balozi (persona non grata) ni kitu kingine, hii ni sawa kabisa, tena ni lazima maana nchi haiwezi kumshika au kumkamata balozi , inaweza tu kumwambia aondoke.
Ila tu ulianza na mambo mengine ambayo si sahihi, yaani swali la uzoefu au mafunzo.
HAyo ni mawili tofauti. Kama balozi anaweza kazi yake au la, ni kitu kingine. Tena inategema jinsi unavyoiona. Mfano wakati wa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi pale Kenya, balozi wa Ujerumani alijitoea kufanya kazi ya dereva kwa wagombea wa upinzani kwa sababu maisha yao ilikuwa hatarini, kuna stori 2,3 jinsi alivyoenda kuangalia maandamano ya upinzani, wakati polisi ilianza kutumia siaha kali alimchukua kiongozi kwenye gari lake la kidiplomasia. Rais Arap Moi alifoka.Mkuu,
Nafikiri maelezo niliyoyatoa yamejitosheleza uzuri tu bila konakona.
Huyo balozi hakuwahi kuwa balozi huko nyuma hadi alipoteuliwa mwaka 2019.
Na nimetanabaisha kwamba ni rafikie Donald Trump kwa maana kwamba alimteua kwa misingi ya urafiki.
Sasa wasemaje huyo mtu ni mwanadiplomasi na ana uzoefu?
Kwa mfano, mbona hatujaona mabalozi wa Ujerumani na Uingereza wakifanya "actively" alichokuwa akifanya yeye mitandaoni?
Asante kwa mchango mzuri tupatieni elimu.HAyo ni mawili tofauti. Kama balozi anaweza kazi yake au la, ni kitu kingine. Tena inategema jinsi unavyoiona. Mfano wakati wa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi pale Kenya, balozi wa Ujerumani alijitoea kufanya kazi ya dereva kwa wagombea wa upinzani kwa sababu maisha yao ilikuwa hatarini, kuna stori 2,3 jinsi alivyoenda kuangalia maandamano ya upinzani, wakati polisi ilianza kutumia siaha kali alimchukua kiongozi kwenye gari lake la kidiplomasia. Rais Arap Moi alifoka.
Mimi nilijibu tu sentensi yako kwamba kutokuwa na uzoefu wa kazi ya diplomasia kunapinga mashariti ya Mkataba wa Vienna. si vile.
Kumtangaza balozi kuwa non grata inaweza kutokea kwa balozi yeyote, kama alitangulia kufagia barabara au kama ana PhD ya diplomasia au kama ni profesa. Kisheria haidhuru.
Kimsingi ni kweli unachosema kuhusu utaratibu wa mabalozi wa Marekani.Balozi kama hatakiwi na host Country huwa anaondolewa mara moja hakuna mahojiano. Mfano kwa serikali ya Marekani, Mabalozi wao huwa wanaondolewa mara nyingi wakati Rais anapokuwa kutoka chama kimoja kuwa madarakani na kingine kuingia. Mfano Republicans wakishinda wanaweka mabalozi ambao wanatumikia sera za Republicans. Vile vile Democrats mara nyingi wanaweka wakwao. Hilo linatokea kwenye all strategic countries. Baada ya Republicans kupoteza urais utaona Balozi wao anaweza kubadilishwa haraka sana japo kuwa hajamaliza mwaka. Haya yanatokea sana tu ni kwa sababu wengi hawajui kwamba yanatokea. Alipoingia Trump mabalozi wengi wa USA nchi nyingi tu waliondolewa/kubadilishwa. Biden naye atawalima wengi tu, vibarua vinaota mbawa kama uyoga.
Mfano Sara Kuku alivyoondolewa.