Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,322
- 7,160
Nawasalimu wanabodi,
Baada ya matokeo ya uchaguzi wa Marekani kutoka na Trump kuangukia pua, ningependa wajuzi wa mambo ya Diplomasia mnipe muongozo katika swali langu hapa chini:-
Je, baada ya President elect Biden kuapishwa tutegemee Balozi wa Marekani kukusanya mabegi na kurudi kwao Marekani na hivyo kupata Balozi mteule mpya?
Naomba msaada wenu,
Asanteni sana.
Uchaguzi umeisha sasa tuijenge nchi
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Baada ya matokeo ya uchaguzi wa Marekani kutoka na Trump kuangukia pua, ningependa wajuzi wa mambo ya Diplomasia mnipe muongozo katika swali langu hapa chini:-
Je, baada ya President elect Biden kuapishwa tutegemee Balozi wa Marekani kukusanya mabegi na kurudi kwao Marekani na hivyo kupata Balozi mteule mpya?
Naomba msaada wenu,
Asanteni sana.
Uchaguzi umeisha sasa tuijenge nchi
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA