mkumbwa junior
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 808
- 1,542
Naomba anayefahamu taratibu za uhamisho wa kubadilishana kituo anisaidie katika hili, Je! mwalimu unapokuwa na Tsd no. na cheq no. zinatosha kwa ajili ya uhamisho au ni lazima tena uwe na barua ya uthibitisho pamoja na kuwa umekaa katika wilaya hiyo kwa kipindi cha miaka fulanii ?
Anayefahamu anisaidie ili niweZe kubaini vitu vya kuwa navyo ili nifanikishe uhamisho huo.
Anayefahamu anisaidie ili niweZe kubaini vitu vya kuwa navyo ili nifanikishe uhamisho huo.