Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,130
- 8,330
Miguu chumvi ipoje mkuu...naomba kufahamuMafuta si mbaya sana
Ipo stable sana,ina piga shimo balaa,nimeitumia sana toleo la 2005
Shida yake siti ya dereva ipo down na inaumiza kiuno balaa
Durable sana kwa watu wenye miguu ya chumvi