StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 3,679
- 3,718
Salaam wana JF,
Naomba kuuliza kuna sababu zipi za msingi za kubadilisha wakuu wa idara mbalimbali hasa za serikali. Unakuta ndani ya mwaka wanabadilishwa mara tatu,nne n.k
Natanguliza shukrani.
Naomba kuuliza kuna sababu zipi za msingi za kubadilisha wakuu wa idara mbalimbali hasa za serikali. Unakuta ndani ya mwaka wanabadilishwa mara tatu,nne n.k
Natanguliza shukrani.