MeNaco.com
Member
- Sep 1, 2011
- 94
- 4
Nimeona kuna watu wengi wanajadili sana kwenye comment za thread mbalimbali kuwa kutumia WIFI ROUTER inasaidia kupunguza gharama za bundle.
1.naomba kufahamu juu ya hichi kitu .
2. kinapatikana kwa gharama kiasi gani
3. Je kinafunction kwenye 2g au la?
4. kuna malipo ya kila mwezi au la?
5. kama malipo yapo unalipia wapi?
Samahani sana kwa usumbufu wana JF, ila mwenye ufahamu na anijuze juu ya hili
1.naomba kufahamu juu ya hichi kitu .
2. kinapatikana kwa gharama kiasi gani
3. Je kinafunction kwenye 2g au la?
4. kuna malipo ya kila mwezi au la?
5. kama malipo yapo unalipia wapi?
Samahani sana kwa usumbufu wana JF, ila mwenye ufahamu na anijuze juu ya hili