Naomba kuelimisha: Je ATCL ni idaea/depart ya wizara au ni Limited company owned by government!!!

Kasheshe

JF-Expert Member
Jun 29, 2007
4,694
787
Kwa mambo yanaoendelea ATCL naomba elimu kidogo waTanzania wenzangu.

1. Is ATCL a government department or
2.a registered limited company under the board of directors?

Naomba kuelewa hili tu kwa nia njema wandugu, please this is not a joke, I need to learn and compare with what is happening in the corporation.
 
Kwa mambo yanaoendelea ATCL naomba elimu kidogo waTanzania wenzangu.

1. Is ATCL a government department or
2.a registered limited company under the board of directors?

Naomba kuelewa hili tu kwa nia njema wandugu, please this is not a joke, I need to learn and compare with what is happening in the corporation.

ATCL ni shirika la umma kama mashirika mengine ya umma, ni limited liab company kama ninafikiria unachofikiria. Zinatofautiana na makampuni ya watu binafsi kwa jinsi zinavyoanzishwa na jinsi zinavyoendeshwa japo zinafanana katika hatua ya kuzisajili, na pia zinakuwa chini ya usimamizi wa wizara husika na pia idara na wizara zingine tofauti tofauti
 
ATCL ni shirika la umma kama mashirika mengine ya umma, ni limited liab company kama ninafikiria unachofikiria. Zinatofautiana na makampuni ya watu binafsi kwa jinsi zinavyoanzishwa na jinsi zinavyoendeshwa japo zinafanana katika hatua ya kuzisajili, na pia zinakuwa chini ya usimamizi wa wizara husika na pia idara na wizara zingine tofauti tofauti

Okay,,, asante sana... nadhani makumpuni yote yako sawa isipokuwa tu... kwa shirika la umma share holder au only shareholder ni serikali...

Sasa naendelea mbele kidogo kuelewa zaidi... Je mkurugenzi mkuu/CEO au uongozi wa shirika la umma... aidha ATCL, TTCL whatever huwa ana-report wapi? Kwa bodi ya wakurugenzi au kwa katibu mkuu au kwa Waziri au kwa Rais... naomba msaada zaidi musi/usinichoke.

In short mwajiri wa CEO, na wasaidizi wake ni nani? hata pale kwenye barua ya ajira?
 
Okay,,, asante sana... nadhani makumpuni yote yako sawa isipokuwa tu... kwa shirika la umma share holder au only shareholder ni serikali...

Sasa naendelea mbele kidogo kuelewa zaidi... Je mkurugenzi mkuu/CEO au uongozi wa shirika la umma... aidha ATCL, TTCL whatever huwa ana-report wapi? Kwa bodi ya wakurugenzi au kwa katibu mkuu au kwa Waziri au kwa Rais... naomba msaada zaidi musi/usinichoke.

In short mwajiri wa CEO, na wasaidizi wake ni nani? hata pale kwenye barua ya ajira?
Kiongozi tangu ulivyoaanza kuuliza swali lako nilikuwa najua majibu unayo na swali la msingi bado ujaliwasilisha so plz dont hit around the bush funguka kwenye main part ya kinachokukeleketa ambayo nidhani yanahusiana na hayo yaliyomkuta Mr Chizi na wenzake.

 
Okay,,, asante sana... nadhani makumpuni yote yako sawa isipokuwa tu... kwa shirika la umma share holder au only shareholder ni serikali...

Sasa naendelea mbele kidogo kuelewa zaidi... Je mkurugenzi mkuu/CEO au uongozi wa shirika la umma... aidha ATCL, TTCL whatever huwa ana-report wapi? Kwa bodi ya wakurugenzi au kwa katibu mkuu au kwa Waziri au kwa Rais... naomba msaada zaidi musi/usinichoke.

In short mwajiri wa CEO, na wasaidizi wake ni nani? hata pale kwenye barua ya ajira?


Mkuu huko unapokwenda sipo maana umeshaambiwa Chizi alichaguliwa kimakosa kwa uelewa wangu mimi chizi angekuwa anatoka Tanga kungekuwa hamna makosa
Mfano halisi angali huyu Captain Lazaro anatoka Mbeya na waziri anatoka Mbeya inakuwa hamna kosa wakati mazingira ni yale yale wote ni wateule wa waziri
 
Kasheshe haya ndo mojawapo ya madudu ya serikali ya ccm yanayolalamikiwa sana humu nawe umekuwa mtetezi wake mara nyingi. Leo unauliza tuseme unateteaga jambo usilolifahamu kwa undani?
 
Kasheshe haya ndo mojawapo ya madudu ya serikali ya ccm yanayolalamikiwa sana humu nawe umekuwa mtetezi wake mara nyingi. Leo unauliza tuseme unateteaga jambo usilolifahamu kwa undani?


It seems, it will take ages watu kuelewa niko upande gani, lakini let me put straight... niko upande wa ukweli, I hate watu wasiofuata professionalism regardless wako upande gani? watawala au wapinzani. Kwangu kuwa upande wa Chama fulani ni kama kujipeleka jela la mawazo mwenyewe... yaani unakosa ule uhuru wa kuchambu.a
 
Kwa mambo yanaoendelea ATCL naomba elimu kidogo waTanzania wenzangu.

1. Is ATCL a government department or
2.a registered limited company under the board of directors?

Naomba kuelewa hili tu kwa nia njema wandugu, please this is not a joke, I need to learn and compare with what is happening in the corporation.

Badili title iwe KUELIMISHWA badala ya KUELIMISHA
 
Kwa mambo yanaoendelea ATCL naomba elimu kidogo waTanzania wenzangu.

1. Is ATCL a government department or
2.a registered limited company under the board of directors?


Naomba kuelewa hili tu kwa nia njema wandugu, please this is not a joke, I need to learn and compare with what is happening in the corporation.

Hapo kwenye BOLD naomba ingia tovuti hii www.mot.go.tz itakusaidia na uache uvivu wa kufikiri. Are you great thinker?.
 
Back
Top Bottom