ngotho
Senior Member
- Jun 18, 2021
- 142
- 110
Wakuu habarini za saizi
Ningependa kujua kwamba, hivi kwa mfano umechaguliwa vyou viwili let say (MZUMBE NA MUSTI) in the second round, na itokee umechaguliwa kozi ambazo huzipendi.. later on ubadilishe mawazo against hivyo vyuo.
Je, ukiaply chuo kingine unaweza kuchaguliwa round ya tatu? Let say umeaply IFM, third round?
Msaada pliz!!! Nataka niaply tena maana nimechaguliwa vyuo viwili ila kozi sijazipenda..
Ningependa kujua kwamba, hivi kwa mfano umechaguliwa vyou viwili let say (MZUMBE NA MUSTI) in the second round, na itokee umechaguliwa kozi ambazo huzipendi.. later on ubadilishe mawazo against hivyo vyuo.
Je, ukiaply chuo kingine unaweza kuchaguliwa round ya tatu? Let say umeaply IFM, third round?
Msaada pliz!!! Nataka niaply tena maana nimechaguliwa vyuo viwili ila kozi sijazipenda..