Sales93
Senior Member
- Mar 5, 2014
- 146
- 73
Habari wadau,
Naomba kufahamu vitu viwili vitatu kuhusu hizi position mbili za PCCB kuna moja inaitwa investigation officer na nyingine assistant investigation officer, nimeona mara nyingi watu wakiitwa kazini wanatakiwa wakaripoti chuo cha mafunzo cha upolisi kidatu,
Je hii kazi hasa hasa kwa upande wa investigation officer inamaanisha ukiipata moja kwa moja unakuwa polisi au kule ni kupata mafunzo na je kwa upande wa hali ya mafunzo je ni ya hali gani na pia kwa upande wa roles and responsibilities ni zipi ambazo anakuwa nazo huyu investigation officer? mwenye ujuzi naomba anisaidie wakuu.
Naomba kufahamu vitu viwili vitatu kuhusu hizi position mbili za PCCB kuna moja inaitwa investigation officer na nyingine assistant investigation officer, nimeona mara nyingi watu wakiitwa kazini wanatakiwa wakaripoti chuo cha mafunzo cha upolisi kidatu,
Je hii kazi hasa hasa kwa upande wa investigation officer inamaanisha ukiipata moja kwa moja unakuwa polisi au kule ni kupata mafunzo na je kwa upande wa hali ya mafunzo je ni ya hali gani na pia kwa upande wa roles and responsibilities ni zipi ambazo anakuwa nazo huyu investigation officer? mwenye ujuzi naomba anisaidie wakuu.