Mkuu unazijua sifa za Nyumbu? Nakutajia moja; Kukosa kumbukumbu!!!Kila nikitazama mijadala kwenye mitandao ni kama wapinzani bado wapo kwenye mapambano na hayati Magufuli.
Rais na mwenyekiti wa sasa wa CCM mama Samia ni kama hawana tatizo naye, anawakosha sana na wanamtumia kuwaumiza wafuasi wa Magufuli.
Kwa wataalam wa siasa hii ina maana gani kwa siasa za upinzani?
Tutegemee battle ya wapinzani na Magufuli mpaka wakati wa uchaguzi 2025 au hapo katikati wataamishia vita yao kwa mama Samia?
Binafsi naona siasa za Magufuli zitatawala sana awamu hii maana naona Samia kaamua mapema kujifungamanisha na Magufuli.
Tuwaulizeni nyinyi MATAGA mnapomshangilia Mama Samia inamaana mmemgeuka MAGUKila nikitazama mijadala kwenye mitandao ni kama wapinzani bado wapo kwenye mapambano na hayati Magufuli.
Rais na mwenyekiti wa sasa wa CCM mama Samia ni kama hawana tatizo naye, anawakosha sana na wanamtumia kuwaumiza wafuasi wa Magufuli.
Kwa wataalam wa siasa hii ina maana gani kwa siasa za upinzani?
Tutegemee battle ya wapinzani na Magufuli mpaka wakati wa uchaguzi 2025 au hapo katikati wataamishia vita yao kwa mama Samia?
Binafsi naona siasa za Magufuli zitatawala sana awamu hii maana naona Samia kaamua mapema kujifungamanisha na Magufuli.
Kweli kuna watu wanaishi jamhuri ya twitter...!!Waliweka nguvu kubwa kwa Magufuli kwa sababu ccm ilishakufa na Magufuli naye kashafariki hivyo sasa hivi wanaanua matanga tu.
Nilipoona kwamba mawazo haya yametolewa na mnanyembe wala sikupata shida. Tangu lini wazo jema likatoka mboka zaidi ya majungu na umalaya.Tuwaulizeni nyinyi MATAGA mnapomshangilia Mama Samia inamaana mmemgeuka MAGU
Mkiwa mnasahuriwa na werevu muwe mnaelewa tizameni nyuso zimewashuka mnaona aibu wala hamjui mko upande gani sasa maana hamueleweki hata mmnamshangilia nini kwa SSH
Haya yule mwingine KAYABHULA mchana kweupee anasema JIWE alikurupuka leo anataka waliofukuzwa vyeti feki walipwe
Kwetu Unyanyembe KUYABHULA ni pale MCHAWI anapojieleza dhambi zake alizofanya mbele ya umati wa watu aliowafanyia UCHAWI bila kuulizwa
Safari hii MTAYABHULA mmoja baada ya mwingine
Sasa kazi inabaki kwenu Buku 7 kama wewe waimba mapambio wa humu ndani JF mnabaki KUJIBALAGUZYA tu
Kwetu Unyanyembe KUJIBALAGUZYA ni kujisemesha semesha maneno na kujistukia kwa NSONI
NSONI maana yake AIBU kwa Kinyanyembe
Mnatamani mgeenda nae MWENDA ZAKE maaana kawaachia AIBU kubwa mmno mnatafuta pakuziweka sura hamna na mkija humu KUJIBALAGUZYA tunawapa za uso Pumbavu kabisa nyie Mxieusssszzzz
Hata ukiwaita,haifuti dhana ya kwamba ccm ni tumbili kama kafulila.ndo mana kwa akili fupi silinde,slaa,shonza,etc eMkuu kwa mujibu wa machadema na wapinzani wengine, matatizo yote aliondoka nayo Magufuli kwahiyo sasa hivi mambo yote ni safi na ccm ni mbele kwa mbele.
Yani sasa hivi kwaufupi ni kwamba baada ya kifo cha Magufuli wapinzani sasa wako ikulu na hata uchaguzi wa 2025 watashinda kwa kishindo maana ccm na mifumo yake kaondoka nayo Magufuli.
Tukiwaita hawa jamaa nyumbu wanakasirika.
Nilipoona kwamba mawazo haya yametolewa na mnanyembe wala sikupata shida. Tangu lini wazo jema likatoka mboka zaidi ya majungu na umalaya.
Wee matumbo ungeunga mkono juhudi za wanaopambana kuondoa mifumo mibovu ya nchi hii inayokufanya uwe maskini, lakini umekaa pembeni kazi kulalamika tu, watz bwana!Wamepambania mfumo gani mpaka sasa? so far naona mifumo ni ile ile haujaguswa hata mmoja kuanza tume.
Bila Mbowe tusingeweza kuipa kura 2020mpinzani mwenye akili alikuwa Slaa tu, wengine wameshikiwa akili na Mbowe
Pamoja na yote haya lakini aliiba uchaguzi na kuhalalisha wabunge wasio na vyama kuingia bungeni.Iko hivi, wapinzani wanajua Magufuli aliwamaliza wakakosa sera na kutupwa kule. Wakakosa hoja, na ushawishi. Wakadharaulika na kukosa kura. Hii yote ni kutokana na uzalendo, ujasiri, ubunifu, uchapakazi, utambuzi, akili na maono ya Magu.
Na kwa sababu siyo wabunifu ikabidi wakimbilie mitandaoni na kuanza kutukana, kupiga propaganda za kuchafua, lakini kwa miaka 5 haikuwasaidia! Watanzania wakaonyesha support kubwa sana kwa Magu.
Ndiyo maana hata baada ya kifo cha Magu bado wanateswa sana na kivuli cha Magu. Wanatumia nguvu sana kuonyesha Magu si kitu. Lakini kuna tofauti kubwa Kati ya propaganda na uhalisia! Na bahati mbaya mambo aliyoyafanya ni halisi na siyo superficial Kama lawama zao. Huwezi ukakosoa ujenzi wa miundo mbinu ambao hata kipofu anaona umepunguza foleni, umerahisha usafiri, umepunguza gharama za usafiri na maisha! Uwezi ukakosoa nidhamu ya watumishi wa umma kuimarika kwa kiasi kikubwa, huwezi ukalazimisha kwamba uchumi haujakuwa, huwezi ukadanganya kwamba majambazi wameongezeka, ajali zimeongezeka, rushwa imeongezeka wakati vyote hivyo vimepungua kwa kasi ya ajabu.
Kwa hiyo wanavyompamba SSH ili aache mbinu za Magu ambazo ni proved zimewapiga mieleka miaka 5, kwa mahesabu kwamba akilegeza watapata upenyo.
Na wakikata upenyo Muda ukifika utaona watakavyomshambulia SSH!
Na waganga njaa wamezuiliwa kufanya mikutano ya kisiasa.Tanzania haina wapinzani ina waganga njaa.
Ni kweli maana ccm haikupata shida nae kumnunua ilikuwa kama kumsukuma mlevi tu.Huyu ndio ana akili sana. 🤣 🤣mpinzani mwenye akili alikuwa Slaa tu, wengine wameshikiwa akili na Mbowe
Mkuu wakisikia mikutano ya siasa na katiba mpya matumbo ya kuhara haya hapa,jiulize tu kwa nini wanaogopa hivyo????Na waganga njaa wamezuiliwa kufanya mikutano ya kisiasa.
Hata madai ya katiba mpya ni vuruguIle sio mikutano ni vurugu.
Nani anahangaika na mzimu wa huyo na wewe???Yeye ndie alikuwa anapambana na nguvu asioiona kwa macho akawezwa,kuna issue tena hapo sukuma gang ndio tunaopambana nao wasiotaka kukubali kuwa mtu wao is no more.Wameamua kupambana na mzimu wa Magu wakidhani wataweza! Hawana jipya, wanatapatapa tu, tuwapuuze😡!