Naomba kueleweshwa: Wapinzani wanapambana na Hayati Magufuli au Rais Samia?

wanampenda samia, ila wanamchukia marehemu

wanampenda samia na wako kimya juu ya CCM

wako kwenye mtego mbaya sana kwa sababu emotion ndio zimewatawala
Tuna upinzani wa hovyo sana nchi hii.
 
Kila nikitazama mijadala kwenye mitandao ni kama wapinzani bado wapo kwenye mapambano na hayati Magufuli.

Rais na mwenyekiti wa sasa wa CCM mama Samia ni kama hawana tatizo naye, anawakosha sana na wanamtumia kuwaumiza wafuasi wa Magufuli.

Kwa wataalam wa siasa hii ina maana gani kwa siasa za upinzani?

Tutegemee battle ya wapinzani na Magufuli mpaka wakati wa uchaguzi 2025 au hapo katikati wataamishia vita yao kwa mama Samia?

Binafsi naona siasa za Magufuli zitatawala sana awamu hii maana naona Samia kaamua mapema kujifungamanisha na Magufuli.
Mkuu unazijua sifa za Nyumbu? Nakutajia moja; Kukosa kumbukumbu!!!
 
Kuna wapinzani wa CCM na kulikuwa na wapinzani wa Magufuli.Wapinzani wa Magufuli walikuwa wengi kuliko wapinzani wa CCM. Wengi wa wapinzani wa Magufuli, waliuchukia uongozi wake mbaya. Kwao, Rais anakuwa wa chama gani haikuwa muhimu sana, cha muhimu zaidi ilikuwa nchi kuwa na uongozi mzuri.

Lakini, hata wale wapinzani wa CCM, upinzani wao kwa CCM haukuwa wa kiwango sawa na ule dhidi ya Maguguli. Hakuna mwenye akili timamu aliyekubaliana na mambo mengi aliyokuwa akifanya Magufuli, bila ya kujali mtu huyo ni CCM au wa upinzani. Na uhakika wa hilo, fuatilia viongozi na wabunge wa CCM ambao kipindi cha marehemu waliamua kuishi bila akili, kazi yao ikawa ni kusifu na kushangilia tu, lakini baada ya waliyemkabidhi akili zao kuondoka Duniani, wasikilize wanachoongea.

Spika anasema hakubaliani na Magufuli kwenye suala la ndege na bandari ya Bagamoyo.

Gwajima anasema hakubaliani na Magufuli kwenye suala ya kuwabambikia watu kesi za uhujumu uchumi.

Nape anasema hakubliana na Magufuli kwenye suala la kuwanyanyasa wafanyabiashara.

Gambo anasema hakubaliani na Magufuli kwenye suala la watumishi hewa.

Mwigulu anasema hakubaliani na Magufuli kwenye suala la kuwanyanyasa wafanyabiashara na wawekezaji.

Samia anasema hakubaliani na Magufuli kwenye kunyanyasa wafanyabiashara na wawekezaji, kukanyaga demokrasia, kuvinyima uhuru vyombo vya habari, kuharibu mahusiano na mataifa mengine.
 
Kila nikitazama mijadala kwenye mitandao ni kama wapinzani bado wapo kwenye mapambano na hayati Magufuli.

Rais na mwenyekiti wa sasa wa CCM mama Samia ni kama hawana tatizo naye, anawakosha sana na wanamtumia kuwaumiza wafuasi wa Magufuli.

Kwa wataalam wa siasa hii ina maana gani kwa siasa za upinzani?

Tutegemee battle ya wapinzani na Magufuli mpaka wakati wa uchaguzi 2025 au hapo katikati wataamishia vita yao kwa mama Samia?

Binafsi naona siasa za Magufuli zitatawala sana awamu hii maana naona Samia kaamua mapema kujifungamanisha na Magufuli.
Tuwaulizeni nyinyi MATAGA mnapomshangilia Mama Samia inamaana mmemgeuka MAGU

Mkiwa mnasahuriwa na werevu muwe mnaelewa tizameni nyuso zimewashuka mnaona aibu wala hamjui mko upande gani sasa maana hamueleweki hata mmnamshangilia nini kwa SSH

Haya yule mwingine KAYABHULA mchana kweupee anasema JIWE alikurupuka leo anataka waliofukuzwa vyeti feki walipwe

Kwetu Unyanyembe KUYABHULA ni pale MCHAWI anapojieleza dhambi zake alizofanya mbele ya umati wa watu aliowafanyia UCHAWI bila kuulizwa

Safari hii MTAYABHULA mmoja baada ya mwingine

Sasa kazi inabaki kwenu Buku 7 kama wewe waimba mapambio wa humu ndani JF mnabaki KUJIBALAGUZYA tu

Kwetu Unyanyembe KUJIBALAGUZYA ni kujisemesha semesha maneno na kujistukia kwa NSONI

NSONI maana yake AIBU kwa Kinyanyembe

Mnatamani mgeenda nae MWENDA ZAKE maaana kawaachia AIBU kubwa mmno mnatafuta pakuziweka sura hamna na mkija humu KUJIBALAGUZYA tunawapa za uso Pumbavu kabisa nyie Mxieusssszzzz
 
Waliweka nguvu kubwa kwa Magufuli kwa sababu ccm ilishakufa na Magufuli naye kashafariki hivyo sasa hivi wanaanua matanga tu.
Kweli kuna watu wanaishi jamhuri ya twitter...!!
Kwamba ccm imekufa wakati inaongoza??
 
Tuwaulizeni nyinyi MATAGA mnapomshangilia Mama Samia inamaana mmemgeuka MAGU

Mkiwa mnasahuriwa na werevu muwe mnaelewa tizameni nyuso zimewashuka mnaona aibu wala hamjui mko upande gani sasa maana hamueleweki hata mmnamshangilia nini kwa SSH

Haya yule mwingine KAYABHULA mchana kweupee anasema JIWE alikurupuka leo anataka waliofukuzwa vyeti feki walipwe

Kwetu Unyanyembe KUYABHULA ni pale MCHAWI anapojieleza dhambi zake alizofanya mbele ya umati wa watu aliowafanyia UCHAWI bila kuulizwa

Safari hii MTAYABHULA mmoja baada ya mwingine

Sasa kazi inabaki kwenu Buku 7 kama wewe waimba mapambio wa humu ndani JF mnabaki KUJIBALAGUZYA tu

Kwetu Unyanyembe KUJIBALAGUZYA ni kujisemesha semesha maneno na kujistukia kwa NSONI

NSONI maana yake AIBU kwa Kinyanyembe

Mnatamani mgeenda nae MWENDA ZAKE maaana kawaachia AIBU kubwa mmno mnatafuta pakuziweka sura hamna na mkija humu KUJIBALAGUZYA tunawapa za uso Pumbavu kabisa nyie Mxieusssszzzz
Nilipoona kwamba mawazo haya yametolewa na mnanyembe wala sikupata shida. Tangu lini wazo jema likatoka mboka zaidi ya majungu na umalaya.
 
Mkuu kwa mujibu wa machadema na wapinzani wengine, matatizo yote aliondoka nayo Magufuli kwahiyo sasa hivi mambo yote ni safi na ccm ni mbele kwa mbele.

Yani sasa hivi kwaufupi ni kwamba baada ya kifo cha Magufuli wapinzani sasa wako ikulu na hata uchaguzi wa 2025 watashinda kwa kishindo maana ccm na mifumo yake kaondoka nayo Magufuli.

Tukiwaita hawa jamaa nyumbu wanakasirika.
Hata ukiwaita,haifuti dhana ya kwamba ccm ni tumbili kama kafulila.ndo mana kwa akili fupi silinde,slaa,shonza,etc e
 
Wamepambania mfumo gani mpaka sasa? so far naona mifumo ni ile ile haujaguswa hata mmoja kuanza tume.
Wee matumbo ungeunga mkono juhudi za wanaopambana kuondoa mifumo mibovu ya nchi hii inayokufanya uwe maskini, lakini umekaa pembeni kazi kulalamika tu, watz bwana!
 
Wee matumbo ungeunga mkono juhudi za wanaopambana kuondoa mifumo mibovu ya nchi hii inayokufanya uwe maskini, lakini umekaa pembeni kazi kulalamika tu, watz bwana!
Hakuna anaepambania mifumo hao wapinzani wanapambania matumbo yao.
 
Iko hivi, wapinzani wanajua Magufuli aliwamaliza wakakosa sera na kutupwa kule. Wakakosa hoja, na ushawishi. Wakadharaulika na kukosa kura. Hii yote ni kutokana na uzalendo, ujasiri, ubunifu, uchapakazi, utambuzi, akili na maono ya Magu.

Na kwa sababu siyo wabunifu ikabidi wakimbilie mitandaoni na kuanza kutukana, kupiga propaganda za kuchafua, lakini kwa miaka 5 haikuwasaidia! Watanzania wakaonyesha support kubwa sana kwa Magu.

Ndiyo maana hata baada ya kifo cha Magu bado wanateswa sana na kivuli cha Magu. Wanatumia nguvu sana kuonyesha Magu si kitu. Lakini kuna tofauti kubwa Kati ya propaganda na uhalisia! Na bahati mbaya mambo aliyoyafanya ni halisi na siyo superficial Kama lawama zao. Huwezi ukakosoa ujenzi wa miundo mbinu ambao hata kipofu anaona umepunguza foleni, umerahisha usafiri, umepunguza gharama za usafiri na maisha! Uwezi ukakosoa nidhamu ya watumishi wa umma kuimarika kwa kiasi kikubwa, huwezi ukalazimisha kwamba uchumi haujakuwa, huwezi ukadanganya kwamba majambazi wameongezeka, ajali zimeongezeka, rushwa imeongezeka wakati vyote hivyo vimepungua kwa kasi ya ajabu.

Kwa hiyo wanavyompamba SSH ili aache mbinu za Magu ambazo ni proved zimewapiga mieleka miaka 5, kwa mahesabu kwamba akilegeza watapata upenyo.
Na wakikata upenyo Muda ukifika utaona watakavyomshambulia SSH!
Pamoja na yote haya lakini aliiba uchaguzi na kuhalalisha wabunge wasio na vyama kuingia bungeni.
 
Wameamua kupambana na mzimu wa Magu wakidhani wataweza! Hawana jipya, wanatapatapa tu, tuwapuuze😡!
Nani anahangaika na mzimu wa huyo na wewe???Yeye ndie alikuwa anapambana na nguvu asioiona kwa macho akawezwa,kuna issue tena hapo sukuma gang ndio tunaopambana nao wasiotaka kukubali kuwa mtu wao is no more.
 
Back
Top Bottom