Mantombazane
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 572
- 356
Zanzibar ni nji Tanganyika siyo nji. Hivyo kwa ufupi nji ya Zanzibar ndiyo inayoitawala Tanganyika baada ya kukubali kupoteza utambulisho wake na utaifa
Hakuna kitu huninyima usingizi Kama Muungano tulionao, sie TANGANYIKA ni Mateka wa Zanzibar, ardhi mtanganyiki hapati Zanzibar, ajira,NAOMBA KUELEWESHWA SUALA LA NDEGE YA WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI YA TANZANIA BARA KUPOKELEWA ZANZIBAR.
ZAA = Zanzibar
TAA = Tanzania BARA
Naomba kueleweshwa kwa Uhuru wa mawazo "the right to express my opinion under Article 18 of the Constitution of Tanzania of 1977" kuanzia zamani hakuna pa kuongelea hadi zama za G55 ,Mchungaji Mtikila na sasa kwenye social media utapata mengi kuhusu malalamiko ya watanzania bara.
Tafuta habari ya ndege kupokelewa Zanzibar kisha soma maoni au nenda kwenye Political platforms mbalimbali,
Hoja sio MATUMIZI
Bali swala la Ujenzi na uchukuzi sio la MUUNGANO
Kwanini swala sio la MUUNGANO likafanyike Zanzibar??
Lini swala lisilo la MUUNGANO la Zanzibar litafanyika Tanzania BARA??
Ukiondoa Waziri wa Ndani Ulinzi Nje hakuna Waziri mwingine yeyote anahusika na chochote kule Zanzibar.
Pia TGFA na ATCL hawahusiki lolote kule Zanzibar sababu wapo Chini ya Wizara ya Ujenzi na uchukuzi isiyo ya MUUNGANO
Hapa MAMLAKA za Viwanja vya ndege Zanzibar wanayo yao
Usajili wa vyombo VYA usafiri wao
Kila kitu cha Ujenzi na uchukuzi chao wao wenyewe pekee DAIMA DUMU,
Ni vizuri wajue kuwa hizo ndege ni za Wizara ya Ujenzi na uchukuzi ya Tanzania BARA huko Zanzibar ni MAPOKEZI tu
Wasije anza sema SMZ imenunua ndege hizo
Hii ndo move aliyoshindwa kuicheza Nyerere pamoja na kuwa na upper hand kwenye negotiations zilizopelekea integration na zanzibar.....babu sijui alikuwa anawaza nini. Sasa unajikuta unatumia pesa nyingi ku-run serikali inayohudumia watu milioni moja unaipa status ya nchi wakati ungeweza kuipa status ya mkoa na kuondoa hizi kelele kelele zinazoendelea sasa.
😹😹😹😹😹😹😹😹 nimecheka sana...Dakika ya 10 ya mchezo, matokeo:
Wakojani 3 Sukuma Gang 0.
Bado dk.80
Unawajua wenye chuki ubinafsi na zaidi CHOYO tena uliopotiliza katika huu unaoitwa muungano ambao sehemu moja kila kitu chao ni chao mwenyewe na sio sehemu ya muungano?? Ni Wazanzibari.Kupitia huu Uzi nimeona jinsi gani sisi wa huku bara tulivyo wabinafsi na tuna roho mbaya....