KAGAMEE JF-Expert Member Dec 20, 2013 3,880 4,508 Mar 6, 2022 #1 Habari zenu wakuu! Hii idara ni pana sana ila naomba kujua kama mtu anaweza kuajiriwa huko bila kupitia jeshi?Vp utaratibu wao wa kuajiri upoje? Wana vitengo kama ilivyo jeshini au ni vipi ndugu zangu? Shukrani sana
Habari zenu wakuu! Hii idara ni pana sana ila naomba kujua kama mtu anaweza kuajiriwa huko bila kupitia jeshi?Vp utaratibu wao wa kuajiri upoje? Wana vitengo kama ilivyo jeshini au ni vipi ndugu zangu? Shukrani sana