Yuzo mawe
JF-Expert Member
- May 31, 2019
- 494
- 550
Mkuu nahisi mtandao unakua busy kutokana na kutumiwa na watu wengi.ukibonyeza kwenye allocation status hakuna kinachofunguka; hata ukiwa kwenye https://olas.heslb.go.tz/ ambapo kuna nafasi ya appeal now (kushoto) bado hakuna kinachofunguka!