Mkuu samahani una uhakika gani kuwa hawajaweka kwani watu 5168 wote wako humu kuwa wataleta ushuhuda?omba mungu upate ila siyo kushtumu wakati huenda wameweka lakini waliopata hawapo humu kuwa watatoa ushuhuda hilo uweke akilini liwepo kama akiba ya mawazo yako.Dah hawa jamaa nimeamini ni taasisi isiyokuwa makini kabisa yani wametangaza majina mda sana lkn mpk sasa hawaja release upuuzi huu sasa inakaribia 24hrs
Only in Tz mambo ya ajabu sana.
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app