P Accountant
JF-Expert Member
- Sep 26, 2020
- 369
- 169
Nikweli Mkuu, tusubili zaidiN'gombe wa masikini hazai mkuu
Nikweli Mkuu, tusubili zaidiN'gombe wa masikini hazai mkuu
Kulala nataka na kusubiri natakaNikweli Mkuu, tusubili zaidi
Mie nataka nichek mpira kupunguza stressKulala nataka na kusubiri nataka
Mkuu, mimi silali Leo hadi nielewe hatma ya haya mambo..Kulala nataka na kusubiri nataka
Kama mie tu Mkuu, nataka nichek ball tuMkuu, mimi silali Leo hadi nielewe hatma ya haya mambo..
Nipo hapa naisubiria match ya T-stars huku nikifuatilia updates za mkopo
Cheki hata movie, saiz nimeamua kuchukulia poa tu. Itakavyokuwa haina namnaSie wengine mpira umetukalia kushoto, embu ngoja nitafute movie nicheki huku nacheck updates za mkopo
Hapo "uwezekano wa kutokupata" wengine hatuamini katika hiloMngekuwa mpo kufatilia nalosema msingepata presha kwa maana HESLB nawajua sana batch ya pili na kuendelea kupata ni ngumu hapo yaan uwezekano mdogo sana hapo kuanzia kesho hadi ijumaa yatatoka lakini uwezekano wa kutopata ndio mkubwa embu jiulize kwanini wanachelewesha kutoa
Tusubiri mkuu tupate woteHapo "uwezekano wa kutokupata" wengine hatuamini katika hil
Ameni, Imani hujenga. Siku zote tuwe na kauli ya kushinda. Kushindwa ni bahati mbaya. Tuamini hiliTusubiri mkuu tupate wote
Tusubiri mkuu tupate wote
Yaan mkuu issue iko hv. Idadi ya Watu waliopaata batch 2 inafahamika So kama umekosa au umepata hakiwezi kubadilika kitu kwa sasa.. Watu wapo tayar kwa lolote ila wanachohitaji ni taarifa tu wajue jambo 1..Mngekuwa mpo kufatilia nalosema msingepata presha kwa maana HESLB nawajua sana batch ya pili na kuendelea kupata ni ngumu hapo yaan uwezekano mdogo sana hapo kuanzia kesho hadi ijumaa yatatoka lakini uwezekano wa kutopata ndio mkubwa embu jiulize kwanini wanachelewesha kutoa
Yaan mkuu issue iko HV.. Idadi Watu waliopata batch 2 inafahamika So kama umekosa au umepata hakiwezi kubadilika kitu kwa sasa.. Watu wapotayar kwa lolote ila wanachohitaji ni taarifa tu wajue jambo 1..
Obvious watu wanaosubiria ni wengi mno ila majina ni machache na haya watu waliokosea taarifa zao naamini bado heslb hawajatoa taarifa yoyote au option ya kuappeal
Well sayYaan mkuu issue iko HV.. Idadi Watu waliopata batch 2 inafahamika So kama umekosa au umepata hakiwezi kubadilika kitu kwa sasa.. Watu wapotayar kwa lolote ila wanachohitaji ni taarifa tu wajue jambo 1..
Obvious watu wanaosubiria ni wengi mno ila majina ni machache na haya watu waliokosea taarifa zao naamini bado heslb hawajatoa taarifa yoyote au option ya kuappeal
Liwalo na liweYaan mkuu issue iko HV.. Idadi Watu waliopata batch 2 inafahamika So kama umekosa au umepata hakiwezi kubadilika kitu kwa sasa.. Watu wapotayar kwa lolote ila wanachohitaji ni taarifa tu wajue jambo 1..
Obvious watu wanaosubiria ni wengi mno ila majina ni machache na haya watu waliokosea taarifa zao naamini bado heslb hawajatoa taarifa yoyote au option ya kuappeal