Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,401
- 5,526
Pole yake...Ndugu yangu amekosa tena.
Pole yake...Ndugu yangu amekosa tena.
Hongera kijana sasa tutafutane ndugu yanguPole yake...
Hamna shida kaka, tupo pamojahHongera kijana sasa tutafutane ndugu yangu
Leo mchna.. Ila nahisi hawajatoa Info's.. Wametukung'utia 100% vijana wa Appeal
Hawajatoa majina ila ukitembelea SIPA yako utakuta kumebadilika kuna mshkaj wang juzi usiku aliingia SIPA yake akakuta kapiga 100% na kuna wengine nipo nao chuo wameingia leo wameona wamepiga na wao 100% but juzi na jana kulikuwa empty so nahis wanaendelea kuapdate mdogo mdogo wakimaliza watatoa taarifa za jumlaSio kweli,majina ya rufaa hayajatoka
Pole. Hivi hao jamaa huwa hawapokei simu? Naona kuwauliza wao ingekuwa solution nzuriWakuu nmekuta hii taarfa kwenye account yang naomba nijue maana yake hasa ni nn?
View attachment 1625330
Vyuo gani hao jamaa zako,mana mdogo wangu mambo kwake bado au yy kwa kuwa yupo chuo binafsi tena cha kanisa....aiseeHawajatoa majina ila ukitembelea SIPA yako utakuta kumebadilika kuna mshkaj wang juzi usiku aliingia SIPA yake akakuta kapiga 100% na kuna wengine nipo nao chuo wameingia leo wameona wamepiga na wao 100% but juzi na jana kulikuwa empty so nahis wanaendelea kuapdate mdogo mdogo wakimaliza watatoa taarifa za jumla
Aaah shombe nilikuonea huruma,ungesemwa sana humu..maaña once uliropoka JamboLeo mchna.. Ila nahisi hawajatoa Info's.. Wametukung'utia 100% vijana wa Appeal
Pole Kamakabuzi nakuelewa sana kwa hiyo situationMajibu ya appeal yanatoka lini? Maana hali ni ngumu, mimi nafikiria kuahirisha hadi mwakani mzazi ajipange upya
naona ni kweli, kuna mtu kasema majibu ya appeal yamesogezwa hadi December 24, a day before christmas!Kutokana na experience ya batch 1,2 na 3, wale ambao bado hawajaona chochote kwenye account zao wasitegemee miujiza, ni vyema kujiandaa kisaikolojia.
Wakati wengine tayari washaona status zao na wote wameomba pamoja.naona ni kweli, kuna mtu kasema majibu ya appeal yamesogezwa hadi December 24, a day before christmas!
Mkuu, iko hv wale wote walioona status zao kuwa wamepata mikopo toka Jana zimebadilika na wameambiwa wasubir had tar 24..Wakati wengine tayari washaona status zao na wote wameomba pamoja.
Angalau hao wanakuwa na aassurance.Wengine wajipange kisaikoloji tu.Mkuu, iko hv wale wote walioona status zao kuwa wamepata mikopo toka Jana zimebadilika na wameambiwa wasubir had tar 24..
Watu wanapigwa na butwaa sasa ina maana walikuwa hawajamaliza kwa watu wengine..?
Books and stationarySwali jamani. Et kwenye mkopo BS inamaana Gani?