Naomba kueleweshwa;Hivi mikopo ya nchi dhamana yake huwa nini?

sepema

JF-Expert Member
Jun 13, 2019
591
1,000
Wakuu salaam....
Kawaida mtu anapokopa fedha kwenye taasi rasmi huwa Kuna dhamana inayosimama in case umeshindwa kurudisha mkopo ule dhamana hiyo huwa Mali ya taasisi husika ya fedha,mathalani benki.
Ipo wazi kuwa kwa watumishi wa umma dhamana yao inakuwa Ile kazi wanayofanya na ndomana huwa mwajiri ndo anaetia saini fomu ya mkopo.
Kwa mtu binafsi huweka mali zake mfano, nyumba au viwanja.
Swali langu; Serikali inapokopa fedha toka nchi au taasisi za fedha za kimataifa,huwa nikitu gani kinawekwa dhamana Kama namna yakufidia mkopo endapo masharti yaurudishaji yatakiukwa?
Mwisho; Asiyeuliza Hana ajifunzalo!
 
Wakuu salaam....
Kawaida mtu anapokopa fedha kwenye taasi rasmi huwa Kuna dhamana inayosimama in case umeshindwa kurudisha mkopo ule dhamana hiyo huwa Mali ya taasisi husika ya fedha,mathalani benki.
Ipo wazi kuwa kwa watumishi wa umma dhamana yao inakuwa Ile kazi wanayofanya na ndomana huwa mwajiri ndo anaetia saini fomu ya mkopo.
Kwa mtu binafsi huweka mali zake mfano, nyumba au viwanja.
Swali langu; Serikali inapokopa fedha toka nchi au taasisi za fedha za kimataifa,huwa nikitu gani kinawekwa dhamana Kama namna yakufidia mkopo endapo masharti yaurudishaji yatakiukwa?
Mwisho; Asiyeuliza Hana ajifunzalo!
Wacha tusubiri wachumi watupe elimu
 
Serika inahitajika kuaminika tu ili kukopeshwa.
Wakuu salaam....
Kawaida mtu anapokopa fedha kwenye taasi rasmi huwa Kuna dhamana inayosimama in case umeshindwa kurudisha mkopo ule dhamana hiyo huwa Mali ya taasisi husika ya fedha,mathalani benki.
Ipo wazi kuwa kwa watumishi wa umma dhamana yao inakuwa Ile kazi wanayofanya na ndomana huwa mwajiri ndo anaetia saini fomu ya mkopo.
Kwa mtu binafsi huweka mali zake mfano, nyumba au viwanja.
Swali langu; Serikali inapokopa fedha toka nchi au taasisi za fedha za kimataifa,huwa nikitu gani kinawekwa dhamana Kama namna yakufidia mkopo endapo masharti yaurudishaji yatakiukwa?
Mwisho; Asiyeuliza Hana ajifunzalo!
 
Wakuu salaam....
Kawaida mtu anapokopa fedha kwenye taasi rasmi huwa Kuna dhamana inayosimama in case umeshindwa kurudisha mkopo ule dhamana hiyo huwa Mali ya taasisi husika ya fedha,mathalani benki.
Ipo wazi kuwa kwa watumishi wa umma dhamana yao inakuwa Ile kazi wanayofanya na ndomana huwa mwajiri ndo anaetia saini fomu ya mkopo.
Kwa mtu binafsi huweka mali zake mfano, nyumba au viwanja.
Swali langu; Serikali inapokopa fedha toka nchi au taasisi za fedha za kimataifa,huwa nikitu gani kinawekwa dhamana Kama namna yakufidia mkopo endapo masharti yaurudishaji yatakiukwa?
Mwisho; Asiyeuliza Hana ajifunzalo!
Dhamana yake ni vyote viliopo ardhini
 
Dhamana yake ni ule itumwa ambao nchi huingia kwa kipindi kirefu kulitumikia deni. Nadhani tumeelewana
 
Wakuu salaam....
Kawaida mtu anapokopa fedha kwenye taasi rasmi huwa Kuna dhamana inayosimama in case umeshindwa kurudisha mkopo ule dhamana hiyo huwa Mali ya taasisi husika ya fedha,mathalani benki.
Ipo wazi kuwa kwa watumishi wa umma dhamana yao inakuwa Ile kazi wanayofanya na ndomana huwa mwajiri ndo anaetia saini fomu ya mkopo.
Kwa mtu binafsi huweka mali zake mfano, nyumba au viwanja.
Swali langu; Serikali inapokopa fedha toka nchi au taasisi za fedha za kimataifa,huwa nikitu gani kinawekwa dhamana Kama namna yakufidia mkopo endapo masharti yaurudishaji yatakiukwa?
Mwisho; Asiyeuliza Hana ajifunzalo!
Usifananishe mikopo yenu ya saccos na mikopo ya Nchi..

Ndio maana Nchi zingine zina mikopo zaidi ya asilimia 150 ya Pato la Taifa na zinadunda..

Dhamana ya Mikopo ya Nchi ni uwezo wa Nchi kulipa madeni yake ambao inapimwa na reputable companies zinazofanya hiyo rating.
 
Kodi, mishahara na hata pension, na ndo maana unaona wanaongeza kodi kila kukicha, hakuna sababu nyingine zaidi ya kulipia madeni na interest.

Hivyo dhamana pekee ni kodi kwa wananchi!
 
Usifananishe mikopo yenu ya saccos na mikopo ya Nchi..

Ndio maana Nchi zingine zina mikopo zaidi ya asilimia 150 ya Pato la Taifa na zinadunda..

Dhamana ya Mikopo ya Nchi ni uwezo wa Nchi kulipa madeni yake ambao inapimwa na reputable companies zinazofanya hiyo rating.
Ndomana yakuuliza mkuu.Lugha yakutuelewesha iwe nzuri tafadhali.
 
Mimi na wewe pamoja na familia zetu kifupi watanzania wote rejea ndugai tutakuja kuuza😅😅😅
 
Kuwa nchi ni dhamana tosha
IDA ni kitengo cha WB kinachosimamia nchi masikini 74 duniani na wao ndio wanaotoa mikopo kwa nchi hizo na riba inakuwa kidogo sana na zingine zero kwa ajili ya watu wao na umasikini

Deni litaendelea tu miaka na miaka na linaongezeka
 
Kuwa nchi ni dhamana tosha
IDA ni kitengo cha WB kinachosimamia nchi masikini 74 duniani na wao ndio wanaotoa mikopo kwa nchi hizo na riba inakuwa kidogo sana na zingine zero kwa ajili ya watu wao na umasikini

Deni litaendelea tu miaka na miaka na linaongezeka
Asante mkuu.
Wanaposema Serikali imepata mkopo wenye masharti nafuu wamejikita kwenye nini zaidi?
 
Inategemeana na aina ya mkopo na unautoa kwa nani. Kuna deni la ndani ya nchi (Domestic Debt) na deni la nje (Foreign Debt). Ila pia unaweza kukopa kwenye taasisi za kifedha kama WB, IMF, AfDB ambapo kunakuwa na fungu maalumu kwa ajili ya maendeleo ya nchi.

Au unaweza kwenda kukopa kwa nchi binafsi kama Uchina, Marekani au Uingereza ambapo SECURITY itatokana na makubaliano yenu binafsi (Bilateral Agreement). Hapa nchi inaweza ikaweka SECURITY mashirika ya ummah (State Owned Enterprises ) ambayo hayafanyi vizuri au kitu kingine chochote kile cha thamani.


Sasa kikawaida deni la nje (Foreign Debt), nchi huweka SECURITY kupitia pato la taifa (National Income), ambapo anaweza kusema kwamba kila ndani ya mwaka itakuwa inatoa asilimia kadhaa ya pato la taifa ili kulipa deni. Hivyo watapandisha kodi na kuwakamaua vilivyo ili wapeleke marejesho kukwepa DEFAULT....

Au mara nyingine serikali ikihitaji fedha kwa ajili ya kufanya maendeleo inaweza kutengeneza deni la ndani (Domestic Debt) na ikaamua kutoa hundi/hundee (Issuance of Sovereign Bonds) kupitia benki kuu (The Central Bank) ambazo watu huzinunua na kugeuka wamiliki wa deni la taifa.

Wamiliki wa Sovereign Bonds hulipwa fedha zao baada ya mwaka mmoja na zaidi, baada ya hundi kukomaa (Maturity of Bonds). Hapa wao pia hupata faida kidogo kwasababu kununua hundi ni sawa na kuwekeza..

NB: Marekani The Federal Reserve hutoa Treasury Bonds ambazo watu mbalimbali hasahasa mashirika na nchi hununua. Leo hii Uchina anamiliki sehemu kubwa sana ya deni la Marekani kupitia Treasury Bonds. Takribani dola za Kimarekani Trilioni 1 na ushee.

Hivyo hii Treasury Bond kisheria ni SECURITY, ambapo kitaalamu huitwa NEGOTIABLE INSTRUMENT......
 
Back
Top Bottom